Sasa nimegundua kwanini ccm wamemtuma tambwe kwenye huu mjadala. Ameletwa kuja kuvuruga mjadala, amewatoa kwenye mjadala na sasa wanabishana. Mjadala umeharibika kabisa
Ccm aibu gani mnajitwisha kwa kumleta tambwe hiza ............. Kaletwa na makamba nini?? Ndege wa aina moja huruka pamoja!!!
kaharibu mjadala wote
huyu Tambwe is so harsh na yupo arrogant, anaharibu mjadala.
Mubarikiwe sana kwa kutuletea kinacho endelea uko... Tambwe amejibu vipi swali la Masako, alilo muuliza kuhuse yeye kupingana na m/kiti wake?
Mubarikiwe sana kwa kutuletea kinacho endelea uko... Tambwe amejibu vipi swali la Masako, alilo muuliza kuhuse yeye kupingana na m/kiti wake?