Mkare
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 504
- 78
Katika hilo namuona yuko sahihi. Kama wananchi waliipa ushindi CCM na ishu ya katiba mpya si ajenda yao. It means wananchi hawataki katiba mpya. Wakati mwingine tujilaumu kuwa sisi watanzania ni wajinga. Na ninasema with confidence swala la katiba mpya chini ya CCM halitakuwepo.
Wananchi wengi uelewa ni mdogo kuhusu katiba. Na wengi hawajui hata umuhimu wa hiyo katiba kwamba hajui ikibadilishwa au ikibaki inamsaidia nini. Umaskini umekithiri miongoni mwa watanzani, wananchi wamechagua vilemba, kanga na viatu vya CCM walivyopewa. Katiba it wasnt an issue. Huoni till now wananchi wanavaa zile wanadunda?