Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM bwana. Kwa jinsi kilivyofilisika, kila mtu anaweza kukisemea.
Yaani jamaa ana boa anabisha vitu vya kitoto... Nahisi wamemleta kuja kupoteza muda tu....
Hii ndio aina ya viongozi wetu wa ccm. Ndo maana walikataa midahalo
Kumbuka Masauni kuwa ushidi wa ccm ulitokana na uchakachuaji wa matokeo na hakuna mtu aliyeipa ushindi ccm ( chukua chako mapema)
Amejibu utumbo mtupu na anashauriwa hapa aondoe uccm wake
Wakuu, kwetu hatukuwa na umeme. Shukrani kwa kutupatia wasifu wa tambwe, mtoa upupu. Tunaomba itv wasimwalike tena ili watu wapate hoja za kupost hapa kutuelimisha