Kuelekea Katiba Mpya; Je, Viatu vya Dkt. Mvungi vitamtosha Tundu Lissu?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,145
Kwanza kabisa Ieleweke wazi kuwa mchakato wa Katiba ni zaidi ya Siasa na siyo lelemama

Nakumbuka Mzee Warioba alisema Dkt. Mvungi alikuwa injini ya Tume ya Katiba

Naye JK alisema Dkt. Mvungi alikuwa anajua kila kitu kuhusu Katiba na alitamani sana awemo kwenye Bunge la Katiba ila Sheria haikuruhusu

Dkt. Sengodo Mvungi alishatwaliwa na Mungu wa mbinguni

Ndio najiuliza Tundu Antipas Lissu Wakili mbobezi ataziba pengo la Sengodo Mvungi na kutuongoza kuipata Katiba Mpya yenye ubora?
 
Usimlinganishe PhD holder na vitu vya hovyo

USSR
Aliyetoa mada na wewe uliyejibu hapa wote ni vichwa maji maana wajibu wa hawa watu wawili kwenye mchakato wa katiba ni tofauti kabisa. Wewe uliyejibu ndiye mbulula kabisa na inaonyesha jinsi nchi yetu ilivyo na watu wajinga
 
Wananchi kwa ujumla tukiweza kufuta umimi, na kufikiria Tanzania ya kesho bila Chadema, wala Ccm, wala Act basi tutafika mbali zaidi. Tunahitaji Kufikiri kama taifa na siyo kama chama.
 
Back
Top Bottom