Mjadala: Side Comments: Tathmini ya Utawala wa Rais Kikwete (2005-2012)

lets be realistic bana leo hii ukimwambia zomba kikwete kaendeleza nchi kielimu atakubali lakini twenda field tuone hali halisi majengo ya madarasa mawili yanatosha kuitwa shule na wanafunzi wakawekwa tena bila mwalimu halafu unasema umeboresha elimu?

nijuavyo mimi data hizi kwanza huwa wanazipika tu ili kusatisfy wale wanaowapa mikopo lakini ukirudi ndani ni uozo mtupu. look what they are doing now wameshanyimwa funds kutoka wanakotegemea walichokiona ni kuwanyima watu kutoa hela zao hao wafikie miaka 53 ili wapate hela za kuendeshea serikali.

angalia mashamba waliyo mmilikisha dewj ya mkonge yamebaki kama asset ya dewj kupatia mkopo la hayana tija kwa taifa halafu tuseme kuwa tumeendelea??????
Atatuambia sekta ya Afya imeboreshwa na hali hii ndiyo iliyopo katika Hospitali Kuu Ya Taifa ya Muhimbili. Na mjiulize kama Muhimbili iko hivi, Hizo za mkoa na za wilaya hali ikoje?

attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php
 
Point of interruption, Mwali PC yangu imenigomea kabisa Network muda mfupi tu baada ya kuingia kwenye thread, kwahiyo nitajibu maswali kwa style ya papo kwa papo sina tena muda wa kundaa mtililiko wa Kibunge. imebidi nikimbilie kwenye Internet Cafe---source Matola...
 
Last edited by a moderator:
Silly debate, nadhani zomba anadhihisha yeye ni bingwa wa kukopi na kupesti.

1. Debate iwe na vigezo hatuitaji data ambazo hazieleweki,ndo mana wakawepo wahusika,zomba haonyeshi jinsi gani anaona serikali imekifanya,bali anaonyesha ni jinsi gani anaweza kutulisha data za kupikwa kuaminisha umma kuwa mjomba kafanya makubwa.

2.Kama anaamini ameleta maendeleo kwanini walipata kura ndogo katika uchaguzi wa mwaka 2010?na kupeleke kupigwa chini kwa katibu wa chama hicho?
 
zomba sijui kapewa desa gani anacopy tu na kupaste bila kutafakari...hebu chekini hapa...tanzania hii au nyingine ? kuna wazee wenye shida kama wazee wa nchi hii...? naona zomba anazungumzia tu makaratasi hata haeleweki...


7. Kuimairisha upatikanaji wa haki kwa watu wenye ulemavu na wazee


  • Kukamilika kwa sera ya wazee
  • Kukamilisha sera ya watu wenye ulemavu
  • Kupitishwa kwa sheria ya walemavu 2010
  • Kukarabati nyumba za vyuo vya ufundi kwa watu wenye uelemavu.
  • Kukarabati majengo ya makazi ya wazee
  • Kuhamasisha jamii kuhusiana na utoaji wa huduma kwa watu wenye ulemavu na wazee.
  • Kutoa nyenzo (vifaa) za kujimudu kwa watu wenye ulemavu na wazee.
  • Kuwajengea uwezo wazee na watu wenye ulemavu kwa kuwapa mitaji midogo midogo
ndio tatizo la magamba....wana kopi na kupesti hata ambayo hayafai......yaani najua hata zomba anajua anakopi mambo yasio na manufaa na yasio na maana yoyote......
 
labda tuanzie hapa aseme zile bilioni zilikopeshwa kwa watu wangapi ? zimerudi sh ngapi na zinadaiwa sh ngapi...pia data kwa kila wilaya at leat i mean ni watu wangapi walikopeshwa

Mbona unachangia vizuri tu alafu kila mara unataka mijadala ya mapenzi, acha kujilemaza.
 
Lakini haiondoi sababu za kuunda tume kuchunguza kama
(1) Maswali hayakumfikia kabla ya muda
(2) Technologia hairuhusu watu zaidi ya wawili kupost kwenye thread kama user mmoja.

Ama sivyo kwa speed hii hata na mimi itanilazimu nikiri kwamba sijui kwa nini sisi ni masikini.Of course hatuwezi kuwa na watu efficient namna hii alafu tukaendelea kutopea kwenye ufukara

His speed is just amazing. ngoja tuone kwenye maswali mengine.

Pia hapa naona material uhenda ziliandaliwa sasa unafanyika mchezo wa ku-edit tu,sababu aya maswali ata mimi naweza kutabili litafuata la mtindo upi..lakini udanganyifu wa aina yoyote ule kwenye kipindi hichi unaondoa maana nzima ya huu mwezi.
 
zomba sijui kapewa desa gani anacopy tu na kupaste bila kutafakari...hebu chekini hapa...tanzania hii au nyingine ? kuna wazee wenye shida kama wazee wa nchi hii...? naona zomba anazungumzia tu makaratasi hata haeleweki...


7. Kuimairisha upatikanaji wa haki kwa watu wenye ulemavu na wazee


  • Kukamilika kwa sera ya wazee
  • Kukamilisha sera ya watu wenye ulemavu
  • Kupitishwa kwa sheria ya walemavu 2010
  • Kukarabati nyumba za vyuo vya ufundi kwa watu wenye uelemavu.
  • Kukarabati majengo ya makazi ya wazee
  • Kuhamasisha jamii kuhusiana na utoaji wa huduma kwa watu wenye ulemavu na wazee.
  • Kutoa nyenzo (vifaa) za kujimudu kwa watu wenye ulemavu na wazee.
  • Kuwajengea uwezo wazee na watu wenye ulemavu kwa kuwapa mitaji midogo midogo

Anasahau ni serikali hii hii ya JK inayowalipua mabomu wazee wastaafu wa jumuiya ya Afrika Mashariki wanapodai haki zao.
 
Silly debate, nadhani zomba anadhihisha yeye ni bingwa wa kukopi na kupesti.

1. Debate iwe na vigezo hatuitaji data ambazo hazieleweki,ndo mana wakawepo wahusika,zomba haonyeshi jinsi gani anaona serikali imekifanya,bali anaonyesha ni jinsi gani anaweza kutulisha data za kupikwa kuaminisha umma kuwa mjomba kafanya makubwa.

2.Kama anaamini ameleta maendeleo kwanini walipata kura ndogo katika uchaguzi wa mwaka 2010?na kupeleke kupigwa chini kwa katibu wa chama hicho?

Mkuu Imany John tumeshalisema hapa kuwa hizi ni data tuu za kwenye karatasi
Hapa inatakiw atuambiwe mafanikio halisia sio data ambazo wanapika kuwaambia wafadhili oneni tunavyotoa mikopo kwa wajasiriamali wadogo
Oneni tunavyoboresha sekta ya afya (kwa kutoa vyandarua)
Oneni tulivyotenga budget kwa ajili ya kuongeza majaji na mahakimu
Nenda kwenye uhalisia umuone huyo judge au hakimu aliteuliwa anahudumia wilaya zaidi ya mbili na usafiri hana
Hospitali zipo hakuna dawa na madaktari wenyewe ndio hao wako kwenye mgomo baridi
 
Last edited by a moderator:
jamani labda sasa tuanze kuweka hoja zetu kwa mpangilio wa maswali ambayo hapo baadae Mwali atayachagua ili watujibie yale matatu yanayotoka kwetu na nakubaliana na mdau mmoja hapo juu kwamba tuyakitishe katik maeneo matatu.

toka 2005-2008 pm akiwa Lowassa
2008-2010 pm akiwa pinda
2010-todate

tuyaelekeze katika mambo tote muhimu.
 
Last edited by a moderator:
dongo la kwanza matola kalifumua short and clear point kubwa kwangu kakataa kutoa takwimu za kufikirika la pili ameelezea mporomoko wa uchumi kipindi cha kikwete:yawn:
 
Anasahau ni serikali hii hii ya JK inayowalipua mabomu wazee wastaafu wa jumuiya ya Afrika Mashariki wanapodai haki zao.
Asprin anasema walemavu serikali inawasaidia kama si wafadhili ambao tunawaona kwenye hivi vyuo vya walemavu serikali imetia maguu wapi? sea iko hivi mtoto mlemavu anatakiwa kulipiwa sh 25000/= na serikali lakini sikufich hata elfu moja haiji mashuleni jamani wengine tunawabeba na kuish nao halafu tunakaa hapa kuongopewa hii inaumiza jamani.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom