Mjadala: Side Comments: Tathmini ya Utawala wa Rais Kikwete (2005-2012)

naona zomba anacopy na kupaste hotuba za mkapa

Smile hizo stress za kusoma mabilioni ya kwenye karatasi nani anaweza aise
Tunataka uhalisia wake na sio makaratasi ambayo yanaonyesha matakwimu ya mabilioni ila hali halisi ohakuna
Uwezeshaji wa SME's mbona hauonekani kwa hali halisi ni bla bla tuu
hayo mabilioni yalienda kwa watu gani ambao sio small na medium entrepreneurs
maana hayo inawezekana yametolewa kwa ajili ya SME's ila yakaishia kwa big fish
 
Last edited by a moderator:
Masikini Zomba namuona anajiingiza kwenye uchafu wa credit guarantee scheme, anasema na manufaa. good idea but poor implementation.kazi ipo.
 
Smile hizo stress za kusoma mabilioni ya kwenye karatasi nani anaweza aise
Tunataka uhalisia wake na sio makaratasi ambayo yanaonyesha matakwimu ya mabilioni ila hali halisi ohakuna
Uwezeshaji wa SME's mbona hauonekani kwa hali halisi ni bla bla tuu
hayo mabilioni yalienda kwa watu gani ambao sio small na medium entrepreneurs
maana hayo inawezekana yametolewa kwa ajili ya SME's ila yakaishia kwa big fish

Hahahaha!
 
eti anadai maendeleo ya riba ni mazuri sana ..sijamuelewa hapo anazungumzia nchi gani ...ngoja tuwatch hii movie...tusubiri nafasi yetu ya kuuliza maswali

yaani natamani mjadala ungekuwa face to face...as usual anamuingiza Nyerere na viongozi waliopita kumpunguzia burden Kikwete, vipi kuhusu kuanguka kwa Shilingi katika kipindi chake au haiusiani na uchumi?
 
hivi zomba anaweza kuniambia matokeo ya kauri mbiu hizi? kasi mpya nguvu mpya?, na kasi zaidi, nguvu zaidi, na hari zaidi, maisha bora kwa kila mtanzania, na kilimo kwanza zimenufaisha nini watanzania? na pia ni lini serikari ya ccm imeeanza utratibu wa kubadilisha na kupitisha sheria kinyemela? mfano ile ya mafao ya nssf
 
Kuongeza fedha katika Mfuko wa Uwezeshaji Kiuchumi wa wajasiriamali wadogo (Mfuko wa JK) kiasi cha Shilingi bilioni 10.5 kupitia benki ya NMB. ilitoa kiasi cha Shilingi bilioni 10.5 kupitia benki ya NMB (Shilingi bilioni 5.25) na CRDB (Shilingi bilioni 5.25). Kiasi hiki kiliwezesha kutolewa kwa mikopo ya Shilingi bilioni 37.17 ikiwa in asilimia 118 ya Shilingi 31.5 zilizotengwa kutolewa na benk hizo mbili.


Zomba tueleze nani alipata hizi bilions ulizotaja katika aya yako hii Sio kusifia tuu na kusema kuwa mkopo huu ulisaidia nani alizipata na zimesaidia nini na kwa nini hadi sasa hata marejesho hayaonekani Mikopo hii ililengwa kuwasaidia wale wajasiriamali wadogo klujikwamua na kufanya biashara katika hali nzuri ila zilitolewa na kuishia kwenye mikono ya watu ambao mnawajua ninyi ila mmekaa kimya wala hamtaki kutujuza ni akina nani. Na wala hamjasema lolote kuhusu kurejeshwa kwa mkopo huo ili uwasaidie wengine ambao wanauhitaji.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Smile hizo stress za kusoma mabilioni ya kwenye karatasi nani anaweza aise
Tunataka uhalisia wake na sio makaratasi ambayo yanaonyesha matakwimu ya mabilioni ila hali halisi ohakuna
Uwezeshaji wa SME's mbona hauonekani kwa hali halisi ni bla bla tuu
hayo mabilioni yalienda kwa watu gani ambao sio small na medium entrepreneurs
maana hayo inawezekana yametolewa kwa ajili ya SME's ila yakaishia kwa big fish
umeona eeeh anatuwekea madata ya kwenye proposal atupe implementation ilikuwakuwaje...yes kuna mabilioni ya kikwete yalitolewa kuna mjf yoyote aliyaona kwa mfano....sijui anacopy wapi na kupaste ..heri wangeweka thread ya mapenzi jamani hii mambo ya nchii hii mimi huwa yananiboa bana
 
Jiulize mafuta (petrol/diesel) Inavopatikana kwenye visima umangani, inasafirishwa kwa meli mpaka bandarini, then inapelekwa kwenye visima vya kuuzia mafuta lakini bei yake ni rahisi kuliko bia inayotengenezwa Ilala hapo. (lita ya petrol ni hardly 2200 wakati ya Caslte lager ni 4000). Nchi inaendeshwa kwa Pombe!!

na namuona anaongelea eti uchumi na pato la mtanzania limekuwa hivi pesa ya kukopeshwa waweza kusema kwamba ni pato na mtu? pesa ambayo watakiwa kuilipia? istoshe kumkopesha mtu hela ambayo pia uzalishaji wake uko juu huoni kama kumaskinisha huyu mtu? hivi kweli utamkopesha mtu hela ya mtaji akaizalishe kwa gharama zaid ya hela aliyokopa kwasababu ya mfumuko wa bei halafu ujisifu unamkopesha kwa nia ya kumuondolea umaskini?
 
Zomba anajichanganya, anasema nyerere alisababisha nchi yetu kuwa importer mkubwa wa chakula ukilinganisha na wakati wa ukoloni, alafu anakuja anasema mwinyi alirelux import restrictions zilizokuwapo wakati wa nyerere. very interesting, how did we become biggest importer of food during the regime which imposed high import restrictions? one plus one equals to five here.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Back
Top Bottom