Mimi Muislam, sisi tuna matatizo kwenye taaisisi zetu tu ni majanga, kwenye misikiti tu majanga sasa utegemee shule zetu zifanye vizuri? wenzetu kuna nidhamu kubwa sana hata kama wametofautiana ila wana hali ya kuweka mambo sawa ndani na wanaheshimu viongozi wao na ukitaka kungalia hilo nenda shule za kiislamu na nenda shule za dini nyingine halafu angalia nidhamu na heshima za watoto utapata jibu.