Mtembezi Kichomi
JF-Expert Member
- Feb 24, 2022
- 641
- 863
Hatulazamishi ila tunamsubiri Binti Yako atuzalie Kisha tumrudishe kwako utulelee tena na wajukuu wako .Kama ndoa ni tamu namna hiyo, mbona mnalazimisha vijana waingie humo, kitu kizuri hakiitaji kukipigia debe.