fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 13,127
- 22,958
Kbsa mkuuSio wote mkuu, ukioa/kuolewa na mtu sahihi mtaishi vizuri, tatizo kuigiziana wakati wa uchumba afu baadae mkija kuingia kwenye ndoa kila mmoja anaanza kuonyesha tabia zake halisi na kujikuta mnatofautiana
Hapo ndipo ndoa inapokuwa ndoana
Kuna mdau kwenye ule uzi wa "Mada maalumu kwa wanandoa" wa Mshana Jr alisema, "UNAPOOA KAA UKIJUA UNAMMILIKI MTU MWENYE AKILI ZAKE TIMAMU"