Sio wote mkuu, ukioa/kuolewa na mtu sahihi mtaishi vizuri, tatizo kuigiziana wakati wa uchumba afu baadae mkija kuingia kwenye ndoa kila mmoja anaanza kuonyesha tabia zake halisi na kujikuta mnatofautiana

Hapo ndipo ndoa inapokuwa ndoana

Kuna mdau kwenye ule uzi wa "Mada maalumu kwa wanandoa" wa Mshana Jr alisema, "UNAPOOA KAA UKIJUA UNAMMILIKI MTU MWENYE AKILI ZAKE TIMAMU"
Kbsa mkuu
 
Utafiti usio rasmi.

Na hata ikiwa hivo , fahamu wao sio ww, na ww sio wao .

Asilimia 90% ya watanzania ni masikini

haimaanishi Mo Dewji, Rostam Aziz, Bakhresa, Diamond, Alikiba, Marioo, MillardAyo, na Laizer mmasai wa mgodini sio watanzania.

If possible be 10% remain.
Na wewe sio Mimi na Mimi sio wewe so Baki ulivyo na mimi nibaki nilivyo
 
Kampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi Kwa kuwa hazina Nia njema ya kujenga jamii, kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania, wewe unayeshawishi watu wasioE umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .
Yaani huwa nashangaa mno kama hutaki kuoa unataka nini!? Kuolewa;?
 
Oa upate stress owa ubebe majukumu ya watu wanaume walio kwenye ndoa wanamsemo wao kwamba mwanaume majukumu bna uku roho zinawauma, owa uishi kwa manung'uniko kila siku.

Kata ndoa uishi kwa amani,
kata ndoa ufurahie maisha
kata ndoa uwe huru .
Kata ndoa usipangiwe cha kufanya
 
Ndoa ni taasisi njema by its foundations. Hivi karibuni kumetokea mabadiliko mengi yaliyopelekea ndoa kuwa na maumivu zaidi ya furaha.

Hakuna mtu amesomea uvumilivu, uvumilivu tunajifunza tu, na wala hakuna guarantee kwamba umejifunza na umefaulu. Kama hukufaulu, ndoa hugeuka na kuwa kitu cha ajabu.

Kizazi cha sasa hakina mfanano sawia na cha zamani kdg na kwa hiyo sitegemei ndoa za sasa ziwe sawa na za wazee wetu. Na huenda tafsiri ya ndoa kitaani ikawa nyingine kabisa. My take: Wanawake wa sasa (sio wote lakini) hupenda kuolewa kwa ajili kutatua matatizo yao yaliyoshindikana kama angeamua kupambana kivyake. Wanaume wa sasa (sio wote) huoa kwanza kwa Tamaa ya mwanamke mzuri pengine, halafu pili Pride ya kuwa mtoto au watoto. Hakuna love hapo.
 
Bado una safari ndefu ya kuwafahamu wanawake, pambana.
Huo muda wa kuwafahamu Wanawake naupata wapi ? Kama ww ulipata muda wa kuwafahamu Wanawake Hongera.

Still kukataa ndoa ni udhaifu.

Maana nimeomba mlete hoja ili mtushawishi nasisi lakini naona mnaruka ruka tuu .

Usikute nyie ni wazee mnaojuta , au vijana mliopatwa .
 
Oa upate stress owa ubebe majukumu ya watu wanaume walio kwenye ndoa wanamsemo wao kwamba mwanaume majukumu bna uku roho zinawauma, owa uishi kwa manung'uniko kila siku.

Kata ndoa uishi kwa amani,
kata ndoa ufurahie maisha
kata ndoa uwe huru .
Kata ndoa usipangiwe cha kufanya
Akiwemo Baba aliekuzaa ambae anateswa na mama aliekuzaa kwenye ndoa Yao. Au ww ni mtoto wa mama ?
 
Ndoa ni upumbav.... Tena mwanaume kuharakisha kuoa ni kujichimbia kabuli.. ni upuuzi kufunga ndoa... Tafuta mwanaume au mwanamke zaa nae then achana nae fanya maisha yako... Ukitaka kufanikiwa ktk maisha basi epuka ndoa hasa kwa wanawake... Wanawake wengi masikini kwasabab ya kuolewa... Wanaume wengi wanakufa mapema kwasabab ya ndoa
Kama Kuna mkataa ndoa ana Binti ake wa miaka 20-25 anipe, nimzalishe alafu nitamrudisha na wajukuu wako tutaopata. Sio lazima ajifungulie kwangu.
 
Back
Top Bottom