Sio Dugati ni Ducati boss,huyo mnyama hata baadhi ya super car za racing hazigusi hasa model 1199
Honda Cbr
Suzuki Hayabusa
KTM
MV Augusta
Kawasaki Ninja
BMW Adventure
Aprilia
Harley Davidson
Hizo ndio pikipiki achana na takataka za mchina
Boxer ndo kila kitu BossTwende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu.
Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini(based katika matumizi binafsi)?
1. Boxer
2. SANLG
3. Feckon
4. TVS King
5. Hero
6. King Lion
7.houjo
Nunua Boxer mkuu tena ukipata cc100 au cc125 hutojuta kwa matumizi yakoSawa na asnt kwa mimi niko MTWARA na matumizi yangu ni binafsi kwa kiac kikubwa kwakuwa nahtaji ya kwaajili yakuendea kazi tuu na mizunguko isiyo zid km30 kwa siku
Mizgo kwangu ni nadra sana
Na kama abilia kubeba pia ni mara chache sana hivyoo yaan
Naona kama Boxer inanishawishi kutokana na hazi yake ata mbele ya watu na kiofisi ata kuwabebea mashejio....
Hapo nzuri ni haojueNaomba ushaul kinglion na star ipi nzur
Haojue. Ni bei gani kwa mbeyaTvs mkao wako sio wa mzgo
Zote tuu znanguvu sawa ila 150 ndio nzuru zaid
Kwann usinunue haujo kama mimi walivyonibdl