SACO
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 2,321
- 2,914
Kumekuwa na makampuni mbalimbali yanayofanya biashara ya kuuza pikipiki. Baada ya kutumia pikipiki aina ya T better kwa muda mrefu nimeona ni bora sasa ninunue Boxer.
Naomba nijue faida na changamoto ya hizi pikipiki. Na kama kuna anayeuza njoo inbox tuyajenge.
Naomba nijue faida na changamoto ya hizi pikipiki. Na kama kuna anayeuza njoo inbox tuyajenge.