Mkuu, jamaa alituma maombi mwenyewe akashindanishwa na waombaji wengine, akashinda.
Kwa hiyo kama kitu hakimtii hatia moyoni muhusika na hakivunji sheria ya nchi, wacha afanye kwa utashi wake.
Walikosa msanii mwenye mvuto wanaowataka wakaona wamchukue huyo mwimbaji wa gospel lakini walichokifanya clouds sio kitu kizuri lakini pia gozbert good luck naye asingekubali kuwa sehemu ya fiesta.
Siiuji sana biblia ila kunamistali muhim sana nlifundishwa na walimu wangu wa sunday school kipindi cha utoton ambayo inanikuza mpaka sasa japo mingine tunaipuuzia ila MUNGU atusaidie tu
Katika Zaburi 1:1-6
Inasema heri mtu yule asiyeenda katka shauri la wasio haki wala hakusimama ktk njia ya wakosaji wala hakuketi barazan pa wenye mizaa
Bali sheria ya bwana ndiyo impendezayo na sheria yake huitafakari mchana na usiku
SiVyo walivyo wasio haki
hao ni kama makapi mepesi yapeperushwayo na upepo
Huko kwingine mkamalizie
naOmba tumjaji kupitia hay
Kaka jamaa yuko sahihi kabisa. Neno la Mungu linahubiriwa popote pale bila mipaka ili kuwarudisha kundini waliopotea kwa anasa and etc.
Alikaa na wenye dhambi lakini hakufuata ya wenye dhambi...
Walibarikiwa na viuno alivyokuwa anakata stejini?