Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

bachelor of agriculture economy and agribusiness in tanzania jamani mwenye ujuzi
 
Sasa Mangi ujauzito wa wife unaingiaje kwenye mada hii? No connection kwa kweli bwaashee
 
ukubwa wa kiwanja unatosha kabisa mkuu. kwa ishu ya udongo hapo kikubwa ni kwamba msingi utakwenda chini sana (deep foundation) kulingana na structural design. So inawezekana muhim ni kuzingatia designing hasa za foundation kwenye structural design
 
You are right on ur own preference... "You cant drink all day if you dont start in the morning"
Milango ya vyumba inatakiwa isitazamane moja kwa moja. Hata ule mlango wa master bedroom umekaa vibaya kwa vile ukiwa wazi mtu hawezi kwenda bafuni kuoga kukiwa na watu hapo dining area. Ni ushauri tu wa kuwasaidia kuboresha design zenu zijazo!

Sure! You can't drink all day if you don't start in the morning!!!! You gotta start early
 
Yeah boss upo sahihi, nimesema in ur preference coz hata hiyo ilikuwa preference ya mtu, ni kwamba huwezi kumsatisfy kilamtu at the same time.. mimi nna design nyingi kuliko maelezo, nmepost hyo coz jamaa alitaka simple/lowCost.... nikikutumia plan ya ramani kama hizi hapa chini you will agree with me.

 

Kitufe kipo bana
 
Sasa Mangi ujauzito wa wife unaingiaje kwenye mada hii? No connection kwa kweli bwaashee
Mkuu hujamuelewa, anamanisha ktk mazingira ya nyumba yake hyo ambayo haina hata plaster bado kila kitu kinaenda vyema, ikiwa pamoja na performance ya kitandani Kati yake na mke wake....
 
Nataka nyumba yangu ya tofali iwe na gabion upanfe mmoja na upande mwingne iwe ni full glass juu mpaka chini, je kioo kinene kina gharama gani??
 
Hii hesabu mbona inagoma.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…