Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Mangi ujauzito wa wife unaingiaje kwenye mada hii? No connection kwa kweli bwaasheeMm nlijenga nyumba yangu huku kijijini kwetu moshi
Kiwanja ni cha uridhi
Nyumba ya vyumba vitatu na choo ndani +sebule na baraza mbele
Kupandisha boma nilitumia 3ml tofali za new land za kuchoma na mawe ya chupa lorry
Mchanga lorry 2@180000
Mawe lorry 4@90000
Cement 25@14500
Funding 350000
Nondo20ml12@18000
Tofali lorry2 @47000
Saidia fundi nkawa mwenywe mwanzo mwisho kitambi yote ikaisha
Baada ya hapo nkatulia kwa muda
Mwezi wa pili nkatumia 2.7ml kupauwa na nkahamia
Mbao 3×4 150@6000
Bati za kawaida 60×18500
Misumar kg25(sikumbuki being
Funding 500000
Dirisha 4@90000 za chuma
Nkaziweka vioo zote( sikumbuki ni ela ngap)
Nkahamia na watoto na wife na sasa hivi wife mjamzito
Haina plaster vyumbani wala tiles choo na bafu natumia vya nje na jiko langu LA kuni maisha yanaendelea namalizia nkiwa humo humo ndani
So ww jenga tu ukifuata maneno ya watu huku ndani utaishia kusugua pymbu kwenye vijumba vya kupanga tu
Naomba kuuliza cement iliyo Bora ni ipi
Bosi samahani naweza pata Floor plan yake.View attachment 1185977
kama hii ina 12m*10m, ni 52 bati za kawaida. though tofali ni nyingi kidogo
Inapendeza kufahamu hivyo kutoka kwako; mkuu naomba unisaidie contacts zao tafadhaliNaam,prefab houses zinapatikana hapa tanzania. Kuna makampuni yanafanya kazi hizo kwa sasa.
ukubwa wa kiwanja unatosha kabisa mkuu. kwa ishu ya udongo hapo kikubwa ni kwamba msingi utakwenda chini sana (deep foundation) kulingana na structural design. So inawezekana muhim ni kuzingatia designing hasa za foundation kwenye structural designHabari Wakuu!! Nina kiwanja changu ukubwa 30-20. Udongo wake ni Mfinyanzi nipo nje kidogo ya mji kama Km 4 hv na nina mdoto ya kujenga nyumba ya kawaida ila iwe angalau na kigorofa cha chumba kimoja
Ni nini napaswa kuzingatia kabla sijaanza chochote? na je kwa ukubwa huu naweza kufanya ujenzi huo?
Bosi samahani naweza pata Floor plan yake.
nimeipenda
Design mbaya hiyo kwa privacy ya wakazi; milango ya kuingilia vyumbani imekaa vibaya.
You are right on ur own preference... "You cant drink all day if you dont start in the morning"Design mbaya hiyo kwa privacy ya wakazi; milango ya kuingilia vyumbani imekaa vibaya.
Milango ya vyumba inatakiwa isitazamane moja kwa moja. Hata ule mlango wa master bedroom umekaa vibaya kwa vile ukiwa wazi mtu hawezi kwenda bafuni kuoga kukiwa na watu hapo dining area. Ni ushauri tu wa kuwasaidia kuboresha design zenu zijazo!You are right on ur own preference... "You cant drink all day if you dont start in the morning"
Yeah boss upo sahihi, nimesema in ur preference coz hata hiyo ilikuwa preference ya mtu, ni kwamba huwezi kumsatisfy kilamtu at the same time.. mimi nna design nyingi kuliko maelezo, nmepost hyo coz jamaa alitaka simple/lowCost.... nikikutumia plan ya ramani kama hizi hapa chini you will agree with me.Milango ya vyumba inatakiwa isitazamane moja kwa moja. Hata ule mlango wa master bedroom umekaa vibaya kwa vile ukiwa wazi mtu hawezi kwenda bafuni kuoga kukiwa na watu hapo dining area. Ni ushauri tu wa kuwasaidia kuboresha design zenu zijazo!
Sure! You can drink all day if you don't start in the morning!!!! You gotta start early
Sawa; nimekuelewa vizuri. Asante kwa kuchukua muda kunijibu kiungwana.Yeah boss upo sahihi, nimesema in ur preference coz hata hiyo ilikuwa preference ya mtu, ni kwamba huwezi kumsatisfy kilamtu at the same time.. mimi nna design nyingi kuliko maelezo, nmepost hyo coz jamaa alitaka simple/lowCost.... nikikutumia plan ya ramani kama hizi hapa chini you will agree with me.
View attachment 1188592View attachment 1188610View attachment 1188622
Mlete mtalaamu hapo aje aangalie atapata uhalisia,unaweza sema ni mfinyazi kumbe tifutifu.au vyote kwa pamoja..
Kwa ukubwa huo unaweza kujenga
Like This onetupieni vi raman simple vya kisasa na bei affordable kwa mtu wa kawaida,nawasilisha ombi wakuu
Kwanza kwa wote mliochangia hii post nawaomba niwagongee senksi,kwa sababu ile kitufe cha kubofya senksi hakionekani kwangu.
Pili kuna nyumba (flat) ni mpya vya vyumba vitatu inauzwa kwa milioni 53 hapa Tanga.
Naomba wadau mniambie ni deal nzuri kununua au ni vizuri kujenga mwenyewe kwa hapa Tanga?
Asanteni.
Mkuu hujamuelewa, anamanisha ktk mazingira ya nyumba yake hyo ambayo haina hata plaster bado kila kitu kinaenda vyema, ikiwa pamoja na performance ya kitandani Kati yake na mke wake....Sasa Mangi ujauzito wa wife unaingiaje kwenye mada hii? No connection kwa kweli bwaashee
Hahahahaaaaa!Mkuu hujamuelewa, anamanisha ktk mazingira ya nyumba yake hyo ambayo haina hata plaster bado kila kitu kinaenda vyema, ikiwa pamoja na performance ya kitandani Kati yake na mke wake....
Hii hesabu mbona inagoma.!Kwa haraka haraka nitakupa makadirio maana ndizo kazi zangu hizo chukua square meter za ramani yako times 500,000 utapata garama ya morden house with everything you need.
Kama hujaelewa nina maana Urefu X Upana X 500,000=Construction cost
Hapo nina maana unatumia mkandarasi.