johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,129
Katika yote aliyoongea Tundu Lisu la Msingi ni kupanda mno kwa gharama za maisha ikiwemo Watu baadhi kula mlo mmoja kwa siku
Lisu anaamini Katiba Mpya ndio suluhisho
Je, ni kweli?
Nilitegemea Wachumi wa nchi hii wangekuwa mjadalani tayari lakini wapi!
Mimi najiuliza Uingereza Wana hali ngumu sana ya maisha kwa sasa na wako kwenye migomo endelevu, Je Katiba yao ni Mbaya itawabidi wapate mpya?
Mungu awabariki sana!
Lisu anaamini Katiba Mpya ndio suluhisho
Je, ni kweli?
Nilitegemea Wachumi wa nchi hii wangekuwa mjadalani tayari lakini wapi!
Mimi najiuliza Uingereza Wana hali ngumu sana ya maisha kwa sasa na wako kwenye migomo endelevu, Je Katiba yao ni Mbaya itawabidi wapate mpya?
Mungu awabariki sana!