Mizigo yapungua bandari ya DSM

Mizigo yapungua bandari ya DSM

Wamiliki wa Magari makubwa ya mizigo na mafuta hawataki kusikia Reli inafufuliwa kamwe Kwa sababu wanajua kuwa Reli ikibeba mizigo na mafuta hawana pa kupata pesa wataathilika sana, na endapo Serikali wanalazimisha Reli ifanye kazi lazima watakuwa wakiihujumu ili wateja waikatae Reli na kurudi kwao, huko Bandarini kuna Vioja vingi usumbufu mwingi usio wa lazima , mpangilio mbaya wa Ofisi za kutoa mizigo nk .
Unachosema ni kweli, lakini kwa maana ya uzi huu, havina uhusiano wa moja kwa moja. Kinachotajwa ni meli kupungua baada ya waleta mizigo kuikacha bandari yetu, hicho ndicho nilichomuelewa mleta uzi na hata Meneja wa Bandari amezungumzia meli kupungua.
Ni kweli kwa muda mrefu kumekuwa na shutuma za wenye malori(ambao ashkumu si matusi wengi ni viongozi) wakitajwa kuhujumu jitihada za kuifanya reli iwe imara,hilo liko wazi!
 
Inabidi kufufua reli zetu ili tuweze kuendelea kuwa Na wateja wetu hawa.
 
Dah hii ipichani hhapakwetu!
12512792_1392231797470770_5533159620618514600_n.jpg
 
Sioni kama chama kinahusu, kumbuka watu wa TPA ni civil servants, hata chama gani kishinde wanabaki hao hao.

Kikubwa ni kuwasaport ili mishahara yao yakidhi mahitaji hao ya kila siku, ili kuondoa wizi Na Rushwa.

Kwani hata chadema ikiingia Na kufukuza wafanya Kazi wote Bandari nzima still kama mishahara midogo watu wataiba tu.

Chama sio tija. Weka Siasa pembeni Fanya Kazi.
Narudia kuwa chini ya uongozi wa ccm nchi imeoza kwa utawala mbovu,ccm wanacho jua ni wizi
 
Pa1 na ubabaishaji hapa Bongo pia Katika soko la Dunia Madini ya shaba na cobalt yameshuka bei hvo kufanya nchi ya zambia na kongo ambao ni watumiaji wakubwa wa bandari ya Dsm kufunga baadhi ya migodi na kufanya usafirishaji wa shaba na cobalt kupungua na pia materials na chemicals zingine kama sulphur n.k kupungua kupelekwa nchi tajwa hayo ya durban sijui beira hzo bandar walkua wanatumia kama kawaida kusafirisha cargo.
Ona kama kampuni kubwa za kusafirisha cargo za migodini kama Simba trailer edha awadh,Bravo TRH n.k wamepaki gari.
 
Wewe pita zako na li ccm lako huko

Najua wame ku brainwash, zinduka mkuu. Kwani Mbowe, Mnyika sijui Slaa hawana matumbo? Unafikiri watakumbuka tumbo lako kabla la ya kwao?????? Hauko pamoja nao there different class to you.

Angalia Future ya Kizazi chako, wenyewe vizazi vyao vishavuka normal level ya maisha, cha kwako je??

Work Hard Save Hard.
 
Pa1 na ubabaishaji hapa Bongo pia Katika soko la Dunia Madini ya shaba na cobalt yameshuka bei hvo kufanya nchi ya zambia na kongo ambao ni watumiaji wakubwa wa bandari ya Dsm kufunga baadhi ya migodi na kufanya usafirishaji wa shaba na cobalt kupungua na pia materials na chemicals zingine kama sulphur n.k kupungua kupelekwa nchi tajwa hayo ya durban sijui beira hzo bandar walkua wanatumia kama kawaida kusafirisha cargo.
Ona kama kampuni kubwa za kusafirisha cargo za migodini kama Simba trailer edha awadh,Bravo TRH n.k wamepaki gari.

Spot on Mkuu , Kingine niliona Kasumbalesa MCK ana gari zake "Hakuna Matata" anapeleka shaba South. Pia kuna Volvo walikuwa wanasema ni za Mugabe zinaenda South pia. Shaba iliyokuwa inakuja Tanzania haikuwa nyingi kama inayoenda South.
 
Spot on Mkuu , Kingine niliona Kasumbalesa MCK ana gari zake "Hakuna Matata" anapeleka shaba South. Pia kuna Volvo walikuwa wanasema ni za Mugabe zinaenda South pia. Shaba iliyokuwa inakuja Tanzania haikuwa nyingi kama inayoenda South.
Kwanza sasa hiv shaba za kutoka kolwezi Likasi au fungurume zote anamwaga ndola hatak tena gar za kibongo zikibeba shaba kule kwahyo mwsho wa siku kaingia ubia na sauz mizigo yore sauz af Bongo ubabaishaji sana mambo ya ICD mfano unatoka na shaba kongo au solwezi zambia umekaa kule mwezi unakuja kubwaga pale malawi cargo wanakukalisha tena mwezi au wiki 3 kushusha kisa ooh hawana kontena za kuipakilia iende nje sasa ubabaishaji kama huo sio rahis watu kujua lakin ndo mana jamaa wanasepa...!!!
 
Mjerumani angeendelea baki Tanganyika hakika tungekuwa mbali sana
 
Kwanza sasa hiv shaba za kutoka kolwezi Likasi au fungurume zote anamwaga ndola hatak tena gar za kibongo zikibeba shaba kule kwahyo mwsho wa siku kaingia ubia na sauz mizigo yore sauz af Bongo ubabaishaji sana mambo ya ICD mfano unatoka na shaba kongo au solwezi zambia umekaa kule mwezi unakuja kubwaga pale malawi cargo wanakukalisha tena mwezi au wiki 3 kushusha kisa ooh hawana kontena za kuipakilia iende nje sasa ubabaishaji kama huo sio rahis watu kujua lakin ndo mana jamaa wanasepa...!!!

Sasa gari inakuwa imezuiliwa kwa zaidi ya miezi miwili. Vipi kama ndo umekopa hilo gari Faw na trailer lake mil 200, marejesho labla mil 8 kwa mwezi. Kwa style hiyo si unafilisiwa mara moja?????????
 
Sasa gari inakuwa imezuiliwa kwa zaidi ya miezi miwili. Vipi kama ndo umekopa hilo gari Faw na trailer lake mil 200, marejesho labla mil 8 kwa mwezi. Kwa style hiyo si unafilisiwa mara moja?????????
Ukiwa na ki gari chako ki 1 af unapakia mizigo ya Migodin zambia na Kongo umeisha lazima uwe na gar mi hata 10 au zaid zingine zinafanya kaz zingine so ela inazunguka
 
Ukiwa na ki gari chako ki 1 af unapakia mizigo ya Migodin zambia na Kongo umeisha lazima uwe na gar mi hata 10 au zaid zingine zinafanya kaz zingine so ela inazunguka

Naona bora tank, kuna madogo walikuwa AAA walikuwa wanatembea 3 wakati mwingine 4, Dar Kigali. Ila gari ndio inabidi iwe nzima sana.
 
Naona bora tank, kuna madogo walikuwa AAA walikuwa wanatembea 3 wakati mwingine 4, Dar Kigali. Ila gari ndio inabidi iwe nzima sana.
Rwanda Poa sana hakunaga ubabaishaji pale boda ukifika unavuka fasta boda la ukweli sana kule tenk nazo zina majanga yake
 
Back
Top Bottom