bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,435
nadhan suala la pinda kua next president liko slightly straight forward na uwezo wake hata wapinzani wanaukubali toka yuko tamisemi! nadhan hata wapinzan wakijua pinda ndio mgombea wataishiwa nguvu! magufuli kwa kweli hafai kupewa highest office in the country kwani maamuzi yake mda mwingine sio yanatakiwa kufanyika hata kama ni sahihi! u need that leadership quality ambayo watu kama magufuli, mwakyembe hawana! jazba zao hazifai!