firstcollina
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 349
- 21
Wahenga walisema "Jasiri haachi asil" huenda ikawa ndio asili yetu.
- Viwanja vywa wazi, tunajenga magodown, ili watoto wakacheze barabarani.
- Fukwe za public tunazibinafsisha, kesho tunaandamana kudai punguzo la kiingilio getini,
- Rais anafungua hoteli ya kifahari leo, Alfajiri manispaa wanaivunja, ipo wrong sited.
- Wazirti anamiliki mabilioni anaita Vijisenti.