Miundombinu Tanzania bado sana

Miundombinu Tanzania bado sana

Sijafika Zimbabwe
Harare naiona online. Pia sidhani kama Zimbabwe ni nchi ambayo imezidi Tanzania kimaendeleo
While they have beautiful cities like Bulawayo and Harare maybe the reason miji yao ina good infrastructure ni kwamba ilijengwa na wakoloni, na sikuhizi miji hiyo haikui kwa kasi ukifananisha na miji ya Tanzania
Mfano Harare, inaonekana imekuwa vile kwa miaka mingi, tofauti na Tanzania ambayo inabadilika constantly
Mimi natamani Tanzania ifike level za Morocco au South Africa, sio Zimbabwe

Kuna miundombinu ya Zimbabwe unatamani ingekuwepo Tanzania?
Zimbabwe tumewaacha mbali sana
 
Hii ya serikali ya majimbo imekaa vyema
Sio kwa nchi ambazo zina majimbo tangu zamani, bali kwa nchi ambayo itahamia kwenye majimbo hivi karibuni
Watu wengi wanataka Tanzania iendelee, wakigawa kwenye majimbo itakaa poa sana, majimbo yawe yana compete kwa infrastructure na jimbo linalosuasua, kiongozi anatumbuliwa haraka, anawekwa aliye serious

Viongozi wa Majimbo wanachakuliwa na Wananchi, Hawana Hofu ya kutumbukiwa isipokua kutokuchaguliwa ikiwa hawajafanya vzuri.

Pia, Asilimia kubwa ya kodi inabaki kwenye jimbo husika kurahisisha utoaji wa huduma. Sio kama saivi matundu ya choo shule za Kigoma yanajadiliwa bungeni dodoma ndo hela itoke
 
Top 10 ya mikoa mikubwa au miji mikubwa Mwanza haipo

1. Tabora
2. Morogoro
3. Rukwa
4. Mbeya
5. Lindi
6. Ruvuma
7. Kigoma
8. Singida
9. Shinyanga
10. Dodoma

Nionyeshee Mwanza hapo
Mwanza ni Jiji kama ilivyo Dar es salaam
 
Viongozi wa Majimbo wanachakuliwa na Wananchi, Hawana Hofu ya kutumbukiwa isipokua kutokuchaguliwa ikiwa hawajafanya vzuri.

Pia, Asilimia kubwa ya kodi inabaki kwenye jimbo husika kurahisisha utoaji wa huduma. Sio kama saivi matundu ya choo shule za Kigoma yanajadiliwa bungeni dodoma ndo hela itoke

Tunahitaji watu wenye ideas na visions kama zako serikalini sio hawa mama kaupiga mwingi ili wajaze matumbo yao. Lakini ukija na sera kama hizi Tanzania hawakutaki
 
Back
Top Bottom