Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,829
- 225,639
Si ajabu wangefanya wao hiyo paper wasingetoboaYanii acha tuu
Si ajabu wangefanya wao hiyo paper wasingetoboaYanii acha tuu
Watoboe au hajibu hata swali mojaa zaidi ya kuandikaa utumboo akidhani amepatia.. biology ndo mtihani pekee ambao ukishafanya una uhakika umepata A subiri wasahihishe hutaamini. Physica na Chemistry unafail ukiwa hata hujaanza paper unaona kabisa hapaa NIMEBAKWAA... bios paper zake kuziona nyepesii sasa fanyaa uandike utumbo ulionao kichwaniiSi ajabu wangefanya wao hiyo paper wasingetoboa
Hebu tufanyie hiyo section then tutajua kama kweli ni mrahisi
NB: Usitumie google
Maswali yanaonekana ya kawaida kabisa unajua hapa napiga Banda (A) subiri matokeo yaje sasa.Hata akitumia Google ataandika Utumbooo tu...
Cheti changu cha o level na advance hunusi pua yako kubwa hiyo 😊Wewe hapo unapata swali gani???