Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wana FFF, EEE, SSS, Mkuu, ukumbuke na haoNimekuwa nijiuliza kulikoni PCB mtu anafaulu na AAB, BBB, ABB and the like. Kumbe ni mitihani level ya kidato cha PILI na kidogo cha NNE
Angalia biology -2020: Maswali ya form 2... kidogo form 4!
Right, these are outliers!Kuna watu wana FFF,EEE,SSS,Mkuu, ukumbuke na hao
A za biology huwa hazifikagi 30. Hakijabadilika kitu mwaka huu... Na kuhusu huo mtihani acha kupotosha kwa kusema ni kidato cha pili na nne.Nimekuwa nijiuliza kulikoni PCB mtu anafaulu na AAB, BBB, ABB and the like. Kumbe ni mitihani level ya kidato cha PILI na kidogo cha NNE
Angalia biology -2020: Maswali ya form 2... kidogo form 4!
Kuna watu wana FFF,EEE,SSS,Mkuu, ukumbuke na hao
Okay stupidIdiots!
Nimesoma PCB hujazaliwa, you can imagine the ages I am talking about! Biology A level haiwi that much simple! Tafuta biology ya 1977....A za biology huwa hazifikagi 30. Hakijabadilika kitu mwaka huu... Na kuhusu huo mtihani acha kupotosha kwa kusema ni kidato cha pili na nne. Aliyesoma Biology level yeyote hapo ataelewa ninachokiongea
mwaka huu ziko ngapi? Kuna watu wana BDC wamekosa MD.. can you imagine. Zamani na mitihani yake huyo alikuwa na ufaulu mkubwa sana kwa PCBA za biology huwa hazifikagi 30. Hakijabadilika kitu mwaka huu... Na kuhusu huo mtihani acha kupotosha kwa kusema ni kidato cha pili na nne. Aliyesoma Biology level yeyote hapo ataelewa ninachokiongea
Mwaka gani? Mtihani unauliza functions of cell organelles, strange...kwa Form six!Mimi PCB nilipata ABC, kwa kuuangalia huu mtihani nadhani B au A nisingekosa
Yaani wewe ni limbukeni kikongwe! Sina haja ya kutafuta huo mtihani uliofanya.. Haina maana.Nimesoma PCB hujazaliwa, you can imagine the ages I am talking about! Biology A level haiwi that much simple! Tafuta biology ya 1977....
2009Mwaka gani? Mtihani unauliza functions of cell organelles, strange...kwa Form six!
Upate MD na D la chemistry?mwaka huu ziko ngapi? Kuna watu wana BDC wamekosa MD.. can you imagine. Zamani na mitihani yake huyo alikuwa na ufaulu mkubwa sana kwa PCB
Cell organelles linaulizwa form ngapi?Mwaka gani? Mtihani unauliza functions of cell organelles, strange...kwa Form six!
Sidhani hata kama anajua nini maana ya Biology. Achana nae huyo anatafuta attention...Cell organelles linaulizwa form ngapi?
Sote tunaijua Bios, haijawahi kuwa Ngumu kwa kuangalia.
Ila kaa chini sasa ujibu, wakusahishie ndo utajua hujui.