Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,930
Mkuu acha miti ikupe oksijeni
Mbona jangwani hapajawahi kupungukiwa na oksijeni?
Mkuu acha miti ikupe oksijeni
Mkuu wamiliki wa mti hawataki kupunguza mtu atakuja pigwa shot ya umeme hapo inakula kwakwe mmiliki wa fence anawe mapema tuNaombeni kujuzwa taratibu za kufuata ili kuweka uzio wa umeme waungwana.
Huko ulikomwelekeza akaripoti sidhani kama ni mahali sahihi kwa tatizo hilo mkuu.