Mitanzania...

What do you mean by being "partial kidogo kwenye nature"? Hivi unadhani vijana wetu wa engineering hapa UDSM na nature yao ya Uafrika/Utanzania wakitupwa pale NASA halafu na mavifaa yote yale na vichwa vyote vile vya kuwafunda (nurture) hawatafanya ma-cataclysmic innovative change ya nguvu?

Lakini kwa nini hadi watupwe pale NASA? Kwani hawawezi kufanya hivyo pale Sumbawanga?
 
What do you mean by being "partial kidogo kwenye nature"? Hivi unadhani vijana wetu wa engineering hapa UDSM na nature yao ya Uafrika/Utanzania wakitupwa pale NASA halafu na mavifaa yote yale na vichwa vyote vile vya kuwafunda (nurture) hawatafanya ma-cataclysmic innovative change ya nguvu?

Ha ha ha ha

Mbona unazungumzia vijana wa mbali hadi kote udsm kwa nini? maana akishindwa kutakuwa na kisingizo kwamba mavifaa kayaona ukubwani.Mashikolo matale

Chukuwa hao hao weusi ambao babu zao waliozaliwa hapo hapo US. Na utuambia mavituz yao.

Kuna mwalimu fulani naye aliwahi kuniambia tulichagua ngoma, teh teh teh.Kwa ngoma tupo fiti maeneo hayo kweli mavituz twaonyesha.
 
NN, mmoja wa watu wa kwanza kabisa kutafiti hili suala,Charles Linnaeus (1735), alihitimisha hivi:

1. Americanus. Native American males were supposedly red; had black hair and sparse beards; were stubborn; prone to anger; "free"; and governed by traditions (3). Thus, this form of Homo sapiens was definitely inferior and uncivilized.

2. Asiaticus. The male Asian was said to be "yellowish, melancholy, endowed with black hair and brown eyes...severe, conceited, and stingy. He puts on loose clothing. He is governed by opinion." Thus, like the aforementioned type of Homo sapiens, the Asiaticus could only be a mediocre prototype (2).

3. Africanus. The male of this subset, according to Linnaeus, could be recognized by his skin tone, face structure, and curly hair (2). This kind was apparently cunning, passive, and inattentive, and ruled by impulse. The female of this kind was also apparently shameless, because "they lactate profusely." (3)

4. Europeaus. The males of this subset were supposedly "changeable, clever, and inventive. He puts on tight clothing. He is governed by laws." (2)

Chanzo: http://serendip.brynmawr.edu/exchange/node/1852
 
Chukuwa hao hao weusi ambao babu zao waliozaliwa hapo hapo US. Na utuambia mavituz yao.

Hao, kwa wale waliopata 'nurture', mavituz yao yanajulikana - hebu mcheki huyu:

Benjamin S. Carson, Sr., M.D., had a childhood dream of becoming a physician. Growing up in a single parent home with dire poverty, poor grades, a horrible temper, and low self-esteem appeared to preclude the realization of that dream until his mother, with only a third-grade education, challenged her sons to strive for excellence. Young Ben persevered and today is a full professor of neurosurgery, oncology, plastic surgery, and pediatrics at the Johns Hopkins School of Medicine, and he has directed pediatric neurosurgery at the Johns Hopkins Children's Center for over a quarter of a century. He became the inaugural recipient of a professorship dedicated in his name in May, 2008. He is now the Benjamin S. Carson, Sr., M.D. and Dr. Evelyn Spiro, R.N. Professor of Pediatric Neurosurgery.

Some career highlights include the first separation of craniopagus (Siamese) twins joined at the back of the head in 1987, the first completely successful separation of type-2 vertical craniopagus twins in 1997 in South Africa, and the first successful placement of an intrauterine shunt for a hydrocephalic twin. Although he has been involved in many newsworthy operations, he feels that every case is noteworthy – deserving of maximum attention. He is interested in all aspects of pediatric neurosurgery and has a special interest in trigeminal neuralgia (severe facial pain) in adults.

Dr. Carson holds more than 50 honorary doctorate degrees. He is a member of the Alpha Omega Alpha Honor Medical Society, the Horatio Alger Society of Distinguished Americans, and many other prestigious organizations. He sits on the board of directors of numerous organizations, including Kellogg Company, Costco Wholesale Corporation, the Academy of Achievement, and is an Emeritus Fellow of the Yale Corporation, the governing body of Yale University. He was appointed in 2004 by President George W. Bush to serve on the President's Council on Bioethics. He is a highly regarded motivational speaker who has addressed various audiences from school systems and civic groups to corporations and the President's National Prayer Breakfast.

In 2001, Dr. Carson was named by CNN and TIME Magazine as one of the nation's 20 foremost physicians and scientists. That same year, he was selected by the Library of Congress as one of 89 "Living Legends" on the occasion of its 200th anniversary. He is also the recipient of the 2006 Spingarn Medal which is the highest honor bestowed by the NAACP. In February, 2008, Dr. Carson was presented with the Ford's Theatre Lincoln Medal by President Bush at the White House. In June, 2008, he was awarded the Presidential Medal of Freedom by the President, which is the highest civilian honor in the land. He has literally received hundreds of other awards during his distinguished career.

Today, Dr. Carson and his wife, Candy, dedicate themselves to expanding the reach of the Carson Scholars Fund. Their dream is to name a Carson Scholar in every school within the United States.

Source: http://carsonscholars.org/content/dr-ben-carson/general-information
 
mitanzania mingi HAIJIVUNII NCHI YAO(kwa vile ni masikini:D)
 
Hao, kwa wale waliopata 'nurture', mavituz yao yanajulikana - hebu mcheki huyu:

Benjamin S. Carson, Sr., M.D., had a childhood dream of becoming a physician. Growing up in a single parent home with dire poverty, poor grades, a horrible temper, and low self-esteem appeared to preclude the realization of that dream until his mother, with only a third-grade education, challenged her sons to strive for excellence. Young Ben persevered and today is a full professor of neurosurgery, oncology, plastic surgery, and pediatrics at the Johns Hopkins School of Medicine, and he has directed pediatric neurosurgery at the Johns Hopkins Children’s Center for over a quarter of a century. He became the inaugural recipient of a professorship dedicated in his name in May, 2008. He is now the Benjamin S. Carson, Sr., M.D. and Dr. Evelyn Spiro, R.N. Professor of Pediatric Neurosurgery.

Some career highlights include the first separation of craniopagus (Siamese) twins joined at the back of the head in 1987, the first completely successful separation of type-2 vertical craniopagus twins in 1997 in South Africa, and the first successful placement of an intrauterine shunt for a hydrocephalic twin. Although he has been involved in many newsworthy operations, he feels that every case is noteworthy – deserving of maximum attention. He is interested in all aspects of pediatric neurosurgery and has a special interest in trigeminal neuralgia (severe facial pain) in adults.

Dr. Carson holds more than 50 honorary doctorate degrees. He is a member of the Alpha Omega Alpha Honor Medical Society, the Horatio Alger Society of Distinguished Americans, and many other prestigious organizations. He sits on the board of directors of numerous organizations, including Kellogg Company, Costco Wholesale Corporation, the Academy of Achievement, and is an Emeritus Fellow of the Yale Corporation, the governing body of Yale University. He was appointed in 2004 by President George W. Bush to serve on the President’s Council on Bioethics. He is a highly regarded motivational speaker who has addressed various audiences from school systems and civic groups to corporations and the President’s National Prayer Breakfast.

In 2001, Dr. Carson was named by CNN and TIME Magazine as one of the nation’s 20 foremost physicians and scientists. That same year, he was selected by the Library of Congress as one of 89 "Living Legends" on the occasion of its 200th anniversary. He is also the recipient of the 2006 Spingarn Medal which is the highest honor bestowed by the NAACP. In February, 2008, Dr. Carson was presented with the Ford’s Theatre Lincoln Medal by President Bush at the White House. In June, 2008, he was awarded the Presidential Medal of Freedom by the President, which is the highest civilian honor in the land. He has literally received hundreds of other awards during his distinguished career.

Today, Dr. Carson and his wife, Candy, dedicate themselves to expanding the reach of the Carson Scholars Fund. Their dream is to name a Carson Scholar in every school within the United States.

Source: http://carsonscholars.org/content/dr-ben-carson/general-information

Mkuu hivyo tunaviweza sana. Na hata hivyo majority ndugu yangu, wapo wachache wanaoweza na wanamezwa na kundi kubwa.
 
Ngozi nyeusi laana tupu. Ushahidi wa hilo, subirini uchaguzi wa Oktoba. Pamoja na malalamiko yoooote ya uongozi na utawala mbovu; viongozi/watawala wale wale watarudi madarakani.
 
Ila huyo Mtanzania gani na wewe? Mbona jina lake kama la Kifaransa? Anatokea wapi huyu?

Anatokea Kilimanjaro na kasoma UDSM kabla ya kwenda MIT- wasifu wake huu hapa, cheki nurture ilivyomwezesha:

Sure, she had had her share of negative reactions to the fact that she was a female engineering student-the only one in the University of Dar es Salaam in Tanzania-in the early 1980s. Like some disgruntled classmates secretly cutting off the leg of her chair, causing her to collapse on the floor when she sat down, all because no girl could get marks that high. But when she arrived on a job site the summer after her third year in college, the workers on the highway construction project came up with a novel way to convey their displeasure. They stripped off all their clothes. "They said they would never work for a woman," Léautier recalls from her office at the World Bank in Washington, D.C. "They thought they would shock me into leaving."
They thought wrong. Léautier stayed on the job, helped by a supervisor who insisted that since she was qualified, she be given the right to work. When it came time for her to return to school, all the men gave her a big farewell party. "I guess they eventually came to accept me," she says.
Léautier has spent a lifetime marching to the beat of her own drum, carving out a path that has taken her from her rural roots on a coffee farm in the foothills of Mount Kilimanjaro to the World Bank, where she is a vice president and head of the World Bank Institute. Born to an engineer father and a stay-at-home mother, Léautier knew from a young age where her interests lay. "For a long time, my father didn't have a son so I went around with him fixing things on our farm, which I really enjoyed. I was never too keen on dolls," she adds. "I would make my own toys like trucks or tools that did something. I learned a lot living on the farm. My father designed a coffee pulper, and I helped him with the riveting. I watched all the mechanical movements and learned firsthand how it was able to squeeze the skin and not the seed."
Her marks in primary school were the highest in the Tanga region of Tanzania and earned her a spot in the top high school in the country. But her parents were reluctant to let her go, figuring that being the only girl in a school would be too difficult to handle for a 13-year-old. Instead, she went to the Korogwe School for Girls, where she studied math, biology, chemistry and physics-as well as two classes that were deemed more typical female vocations at the time: cookery and needlework.
After graduation she enrolled in the civil engineering program at the University of Dar es Salaam, where she proved herself such a stellar student that one of her professors hired her to teach one of his undergraduate courses while he was away on sabbatical. Still, adverse pressure from fellow students built up to such a point that she went back home and told her parents that she was leaving school. "They took me right back and said to me, ‘You can do it. We're here to help.' I don't think I could have done it without them." Surprisingly, the whole experience at Dar es Salaam didn't leave a bitter taste in Léautier's mouth. "It made me tough," she admits. "I also had some professors who were very supportive and realized how hard it was for me. They would often ask how I was doing. It made a real difference to me."


Source: https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/3361-where-are-our-intellectuals-5.html
 
Robin Szolkowy.
stock-photo-paris-november-german-ice-skaters-aliona-savchenko-robin-szolkowy-pose-during-medal-24343117.jpg

Nyani, hapa sasa kama unataka DNA.


Wabongo kweli nuksi:-
From wikipedia
"Szolkowy was born in Greifswald, Mecklenburg-Vorpommern, East Germany. His mother, a nurse, met his father, a Tanzanian medical doctor, when the latter was a student in Greifswald. Although Robin had seen photos of his father, the two did not meet until March 2008, in Vienna, Austria."

Niliyakuta Mzumbe nilijua mambo yakuacha wajomba ni huku kwetu tu, kumbe hadi tukienda nje ni hivihivi? Kweli Ngozi nyeusi nuksi, Mzumbe pale wapo kibao awajuhi baba zao wako wapi utakuta mtoto anatumiha jina Baba kama ADA( Advance Deploma in Accounting), wengine majina ya mabweni Mirambo nk

Sasa jama tokea 1979 ajamuona mwanae mpaka 2008? nadhani baada ya kusikia mafanikio ya mtoto.
 
aisee mbona kebineti yetu ya kwanza ilikuwa imechanganya sana 'damu'?

Cabinet1.jpg

Ndo maana nchi ilifanya vizuri mwanzomwanzo hadi hapo tulipo watimua kabisa wakoloni na kuleta ujamaa kwamba kilichokuwepo tugawane, amna aliyakuwa na uchungu. kila kitu "BOMOA BABA TUTAJENGA KESHO"
 
What do you mean by being "partial kidogo kwenye nature"? Hivi unadhani vijana wetu wa engineering hapa UDSM na nature yao ya Uafrika/Utanzania wakitupwa pale NASA halafu na mavifaa yote yale na vichwa vyote vile vya kuwafunda (nurture) hawatafanya ma-cataclysmic innovative change ya nguvu?

Jaribu huone, Hiyo Budget ya NASA yote watu wanailamba wanunua Hammerer na limousine ndio yatakuwa magari ya kuendea ofisini. na hivyo vifaa watauza vyote watanunua chakavu kutoka Soviet Union. Si unajua usemi kuwa Mbongo ukienda umeshika chupa na yeye kashika dhahabu ukamuambia hiyo yako ni chupa atakuabia tubadilishane, at last wewe unachukua dhahabu then unamuachia chupa.
Kweli Mwafika Ngozi ya Mk@$@%.
 
Ndo maana nchi ilifanya vizuri mwanzomwanzo hadi hapo tulipo watimua kabisa wakoloni na kuleta ujamaa kwamba kilichokuwepo tugawane, amna aliyakuwa na uchungu. kila kitu "BOMOA BABA TUTAJENGA KESHO"

Kwa hiyo Kibanga alifanya makosa kumpiga Mkoloni?

Umesahau 'Brown ashika Tama'?
 
Wabongo kweli nuksi:-
From wikipedia
"Szolkowy was born in Greifswald, Mecklenburg-Vorpommern, East Germany. His mother, a nurse, met his father, a Tanzanian medical doctor, when the latter was a student in Greifswald. Although Robin had seen photos of his father, the two did not meet until March 2008, in Vienna, Austria."

Niliyakuta Mzumbe nilijua mambo yakuacha wajomba ni huku kwetu tu, kumbe hadi tukienda nje ni hivihivi? Kweli Ngozi nyeusi nuksi, Mzumbe pale wapo kibao awajuhi baba zao wako wapi utakuta mtoto anatumiha jina Baba kama ADA( Advance Deploma in Accounting), wengine majina ya mabweni Mirambo nk

Sasa jama tokea 1979 ajamuona mwanae mpaka 2008? nadhani baada ya kusikia mafanikio ya mtoto.

Wewe unaongea nini?

huko ulaya kwa kutupa ndo wanaongoza, hao wa mzumbe cha mtoto.
Kuna binti mmoja mweupe alinifuata akaniuliza hivi ninyi watu weusi mko je?
na mimi nikamuuliza kulikoni?
Kasema alikuwa ameolewa na mnigeria mmoja, basi huyo mnigeria kipindi chote alikuwa mnyenyekevu, lakini siku alipopata tu passport akamwaga mkewe anakwenda kununua sigara ,teh teh teh hadi leo miaka 6 hajarudi alikowenda kununua sigara
 
Wewe unaongea nini?

huko ulaya kwa kutupa ndo wanaongoza, hao wa mzumbe cha mtoto.
Kuna binti mmoja mweupe alinifuata akaniuliza hivi ninyi watu weusi mko je?
na mimi nikamuuliza kulikoni?
Kasema alikuwa ameolewa na mnigeria mmoja, basi huyo mnigeria kipindi chote alikuwa mnyenyekevu, lakini siku alipopata tu passport akamwaga mkewe anakwenda kununua sigara ,teh teh teh hadi leo miaka 6 hajarudi alikowenda kununua sigara

MkamaP,

Hii swala ni zito sana. Hivi kuna uhakika gani Wageruman walitaka jamaa abaki hapo German amtunze mtoto? Hawa jamaa ukikaribia tu kumaliza shule wanakufuata na kukumbusha tarehe yako ya kuondoka.

Nina jamaa yangu mmoja huko Ulaya kwenu alikuwa akilalamika kuwa pamoja na kuowa na kuwa na watoto watatu, alitaka kuja nyumbani mwaka huu January, lakini wamemnyima VIZA ya huko na kwa sababu wanafahamu kuwa wanafanya makosa, basi wamesema tu hawatampaisha na hawampi viza. Hawajampa barua wala nini. Hawezi kufanya kazi wala kutoka nje. Watafanya kila njia ili hatimaye uchoke na ukimbie mwenyewe.

Huyo aliyeenda kununua sigara unaweza kukuta walimdaka huko na wakampaisha kimya kimya na huyo dada hadi leo anasubiri kumbe jamaa alishapaishwa au kafungwa.
Tusiwe watu wa kufikiri tu jamaa wanaacha watoto. Hawa jamaa wakati mwingine wanataka sana ukimbie na mtoto wala usiote eti utambeba. Wajeruman ndiyo wanajulikana dunia nzima. Mtoto wao bila kujali wa baba au mama, ni mali yao. Pana wakati nilisoma makala kuwa wanalalamikiwa na Ulaya nzima maana watanyanganya hata kachanga kwa mama yake na atapewa baba, Ovyo kabisa.
 
MkamaP,

Hii swala ni zito sana. Hivi kuna uhakika gani Wageruman walitaka jamaa abaki hapo German amtunze mtoto? Hawa jamaa ukikaribia tu kumaliza shule wanakufuata na kukumbusha tarehe yako ya kuondoka.

Nina jamaa yangu mmoja huko Ulaya kwenu alikuwa akilalamika kuwa pamoja na kuowa na kuwa na watoto watatu, alitaka kuja nyumbani mwaka huu January, lakini wamemnyima VIZA ya huko na kwa sababu wanafahamu kuwa wanafanya makosa, basi wamesema tu hawatampaisha na hawampi viza. Hawajampa barua wala nini. Hawezi kufanya kazi wala kutoka nje. Watafanya kila njia ili hatimaye uchoke na ukimbie mwenyewe.

Huyo aliyeenda kununua sigara unaweza kukuta walimdaka huko na wakampaisha kimya kimya na huyo dada hadi leo anasubiri kumbe jamaa alishapaishwa au kafungwa.
Tusiwe watu wa kufikiri tu jamaa wanaacha watoto. Hawa jamaa wakati mwingine wanataka sana ukimbie na mtoto wala usiote eti utambeba. Wajeruman ndiyo wanajulikana dunia nzima. Mtoto wao bila kujali wa baba au mama, ni mali yao. Pana wakati nilisoma makala kuwa wanalalamikiwa na Ulaya nzima maana watanyanganya hata kachanga kwa mama yake na atapewa baba, Ovyo kabisa.

Kaka lakini hii ya daktari kali tokea 1979 mpaka 2008 ndio kumona mtoto aiwezekani!
 
Wewe unaongea nini?

huko ulaya kwa kutupa ndo wanaongoza, hao wa mzumbe cha mtoto.
Kuna binti mmoja mweupe alinifuata akaniuliza hivi ninyi watu weusi mko je?
na mimi nikamuuliza kulikoni?
Kasema alikuwa ameolewa na mnigeria mmoja, basi huyo mnigeria kipindi chote alikuwa mnyenyekevu, lakini siku alipopata tu passport akamwaga mkewe anakwenda kununua sigara ,teh teh teh hadi leo miaka 6 hajarudi alikowenda kununua sigara

Kaka uliacha wako pale Mzumbe tafadhali kamchukue.
Maana hizo jazba sio bure.
 
MkamaP,

Hii swala ni zito sana. Hivi kuna uhakika gani Wageruman walitaka jamaa abaki hapo German amtunze mtoto? Hawa jamaa ukikaribia tu kumaliza shule wanakufuata na kukumbusha tarehe yako ya kuondoka.

Nina jamaa yangu mmoja huko Ulaya kwenu alikuwa akilalamika kuwa pamoja na kuowa na kuwa na watoto watatu, alitaka kuja nyumbani mwaka huu January, lakini wamemnyima VIZA ya huko na kwa sababu wanafahamu kuwa wanafanya makosa, basi wamesema tu hawatampaisha na hawampi viza. Hawajampa barua wala nini. Hawezi kufanya kazi wala kutoka nje. Watafanya kila njia ili hatimaye uchoke na ukimbie mwenyewe.

Huyo aliyeenda kununua sigara unaweza kukuta walimdaka huko na wakampaisha kimya kimya na huyo dada hadi leo anasubiri kumbe jamaa alishapaishwa au kafungwa.
Tusiwe watu wa kufikiri tu jamaa wanaacha watoto. Hawa jamaa wakati mwingine wanataka sana ukimbie na mtoto wala usiote eti utambeba. Wajeruman ndiyo wanajulikana dunia nzima. Mtoto wao bila kujali wa baba au mama, ni mali yao. Pana wakati nilisoma makala kuwa wanalalamikiwa na Ulaya nzima maana watanyanganya hata kachanga kwa mama yake na atapewa baba, Ovyo kabisa.

Sawa mkubwa
Sasa huyo waliomnyima viza ni viza ya wapi? maana sijaelewa vizuri. Huyo jamaa anahitaji viza kwenda kwao???

huyo wa sigara alikuwa na passport yao kwa maana nyingine tayari ni raia? jamaa ali sepa hajapaishwa wala kutiwa jela jamaa aliingia mitini .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom