Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Kuanzia leo sina hamu tena na voda hata kama wakishuasha gharama zao,wahuni wakubwa hawa
 
Hawa jamaa hawafuati sheria na viongozi wetu wanapewa taarifa lakini ufuatiliaji 0% huku wakitaka makubwa madogo yamewashinda kweli. Samahani nikisema mmefeli
 
Haya makampuni yanafanya hivi kutokana na Uzembe wa waziri Makamba
 
Hao vijana unaowategemea leo wote wamekasirika vifurushi vya bundle vimeshushwa zaidi ya asilimia 400 kwenye upande wa internet, wakati huo huo serikali inatuambia tuko kwenye ulimwengu wa science na technolojia kwa gharama hizi hatuwezi ku-afford hata siku moja.Mb8 huwezi peruzi chochote kwenye internet.

Waziri wewe ndio una dhamana na hili, in this you are out brother, tegemea hata maandamano.

Urais tegemea kura za ambao hujawakwaza kwa hili.

Screenshot_2015-02-13-17-32-19-1 (1).png
 
Kinacho nishangaza jf huwa inawatu wanajua kila kitu ss y hawajajua hili na kwa nn?? Inamaana nw dayz jf imekosa watu makin wa internal information? ?Kunashida kubwa kwenye mitandao hii maana hao jamaa wanafanya wanvyojua..JF fanyen utaratib mje na majib y bei kwa mitandao yote imeshuka ghafura??
 
Hao vijana unaowategemea leo wote wamekasirika vifurushi vya bundle vimeshushwa zaidi ya asilimia 400 kwenye upande wa internet, wakati huo huo serikali inatuambia tuko kwenye ulimwengu wa science na technolojia kwa gharama hizi hatuwezi ku-afford hata siku moja.Mb8 huwezi peruzi chochote kwenye internet.

Waziri wewe ndio una dhamana na hili, in this you are out brother, tegemea hata maandamano.

Urais tegemea kura za ambao hujawakwaza kwa hili.

Uraisi wa nchi ?? Noo you're not serious! Labda urais wa TFF, hivi anaweza toka kifua mbele kusema todate ameifanyia nini nchi hii?
 
Jamani kwani lazima wawape hizo bundle?
Nunua muda wa maongezi na nunua data bundle separate
 
Ajabu sana tz viongozi wanafanya biashara na haya makampuni ya simu za mikononi ndio maana gharama zinaongezwa kinyemela viogozi wamekaa kimya.Jiulize mtumiaji atalazimishwaje kununua bando yenye muda wa maongez,sms na internet badala ya kupewa option achague huduma anayotaka kulingana na mahitaji yake. je ni wangapi wenye simu za kutumia internet?. je hiyo budle ya internet isipotumika zinaenda wapi, na sms zinazobaki zinaenda wapi kama sio wizi wa mchana ni nini.utashangaa unalazimishwa kutumia bundle ndani ya muda viginenvyo unaporwa bila taarifa hata kama hukutumia kutokana na dharura kwa mfano maeneo mengi umeme unakatika mtu hawei kuchaji simu yake na kuitumia matokeo yake anakatwa budle yake yote. huu ni wiziiiiiiiiiii.

Hiki ndicho nami huwa sijiafiki, kwamba kwa nini kusiwe na option ya kununua muda wa maongezi na cha internet?
 
Hao vijana unaowategemea leo wote wamekasirika vifurushi vya bundle vimeshushwa zaidi ya asilimia 400 kwenye upande wa internet, wakati huo huo serikali inatuambia tuko kwenye ulimwengu wa science na technolojia kwa gharama hizi hatuwezi ku-afford hata siku moja.Mb8 huwezi peruzi chochote kwenye internet.

Waziri wewe ndio una dhamana na hili, in this you are out brother, tegemea hata maandamano.

Urais tegemea kura za ambao hujawakwaza kwa hili.

Akiwa rais tutakoma
 
Hamjambo ndugu zangu!
Nakubaliana na mleta hoja. Tunataka majibu ya haraka sana kutoka kwa Makamba, unaposhusha bundle kutoka mb 50 mpaka mb 8 maana yake nini? Huu ni ufisadi mkubwa haujawahi kutokea, tunataka majibu ya kina hapa tumechoka kuibiwa. Makamba ukichelewa kwenye hili na ubunge huna.
 
Airtel nao washafanya yao vifurushi vyote vya siku utapata 10 Mb

Yatakuwa maagizo ya chama kukusanya pesa kwa ajili ya chumvi, kofia, vitenge, tisheti na rushwa mbalimbali kwa wenyeviti wa vijiji. Hatukubali huu upuuzi hata kidogo.
 
Isijekua hii ni strategy yake ya kujipigia promo, ili akilitatua hili swala tumuone mkombozi sana, wakati ni mtu katekeleza majukumu yake!!

Mkuu, huyohuyo Mzee wa vipara kayaagiza makampuni yote ya simu kupandisha bei. Hachomoki katika hili janja yake imebainika.
 
Hivi hili la mb 8 nn tatizo jamani. Ni wao mitandao ya cmu wenyewe au kuna mkono wa tcra. Maana ilianza na voda watu tukalalamika voda wezi, sasa tigo nao hao na mb 8 zao cjajua magwiji airtel
wenye taarifa juu ya hili suala mtujuze jamani.
 
Airtel nao leo wamefanya fyongo sijui tuhamie wapi tu!
 
hamieni kwenye uchakachuzi sasa kupiga bure na kuangusha GB za kutosha hadi wafunge mitandao.. sasa hivi kama mimi 90% ya contacts wangu nikitaka kupiga tuongee napiga through net, Income ya jamaa inashuka kwa speed ya hatari kila mtu smartphone cku hizi hadi wabibi nao wamo, lazima wabane..

Na wabongo mkiwa wapole bila kupigapiga kelele hizi bei TCRA waziweke sawa mtakaa mnasubiri hadi iPhone 10 itoke
 
Ilikuwa ni jana baada ya kumaliza shughuri zangu za asubuhi nikaona niweke vocha, ili mambo mengine yaendelee, cha kushangaza nilishangazwa sana na utaratibu mpya wa hawa Jamaa, Vifurushi internet hadi kufikia Tsh elfu 9999 ni MB 8, SWALI JE KWA HAYA MATUMIZI YA SIMU ZA KISASA (smartphone) kupewa MB 8 kwa elfu 9999 ni sawa? Na mpango wao unaweza kufanikiwa?
 
Back
Top Bottom