Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Hawajui kwamba ktk migomo rahisi kuifanya ni ya matumizi ya simu,siku moja tugome walau siku moja
 
Nyie si ndo mnaoshabikia Wafanyabishara wakandamizwe na serikali kwa kulipa kodi kubwa? Wacha mkamuliwe kisawasawa.

Kwani walimu wanaolipa kodi ya mwezi zaidi ya kodi ya kampuni X ya mwaka wao ndio wanapaswa kulipa kodi pekee. Wafanyabiashara kwanza hututoza kodi kwenye bidhaa na kumbe hawazifikishi zinakostahili. Wote tulipe kodi bwana.
 
Waungwana msilaumu Vodacom tu hata hawa Tigo nao viwango vyao ni hivyo hivyo sawa na Voda, inaonekana wamekubaliana. Sijui kuhusu Airtel. Pumbavu sana hawa, sasa mtu ulipe 7000/= upate MB 60 wapi na wapi?
 
Hameni mnasubiri nini? mafuta yameshuka bei wamepandisha bei ya mitandao..Leo nahamia Airtel pia nasubiri Viatel itafunguliwa soon
 
hapo patam sana itakua seva zao zimekorofisha hao sio bure
 
Nilikuwa najiungaga na kifurushi cha wiki 3500, nilishaacha li voda naliangalia tu kesho nalivunja. Najua wapo wengi wenye uamuzi mzuri kama wa kwangu.
 
Na mpigwe tu si mmewachagua gambaz wenyewe haya ndio maisha bora!Nyambavu zenu wabongo!
 
Voda wamebana sana mi pia huwa naunga cha wiki but leo sina jinsi imenibidi niunge cha 2000 mb60,tatizo jingine speed ya intanet majanga japo voda wanajitahidi kidogo
 
Na mpigwe tu si mmewachagua gambaz wenyewe haya ndio maisha bora!Nyambavu zenu wabongo!

Nyambavu ww -----, ambae umekuwa mkubwa na ndevu ila akili bado bogus. Hivi siasa imeingia wapi hapo? Hio ni biashara na ndio maana wale wengine wakibanwa wanafunga maduka naww ndio unasupport
 
Swali,,,
Hivi nyie voda vifurushi vyenu vya Cheka mbona kila siku munazidi kushusha vifurushi vyenu na mb za internet?
 
Leo Vodacom kifurushi cha Cheka uanapata dakika 7 mitandao yote name mb8 za internet huu ni wizi
 
Cha kufanya kwa buku lako hilohilo...unajiunga na kifurushi internet cha mia tano mb 200 afu unajiunga na kifurushi cha kifurush cha sh 460,mb 8 na dk 7 na sms 100 then life goes on.
 
Alaf sahau tu kasalio kwenye simu hukakuti mm wameshanila kama elfu 5000!! Na vifurushi vimepanda yaan marketing manager atakua kasoma magogoni!
 
Vodacom pamoja na Tigo Leo wameshangaza Watanzania, hii ni baada ya kupunguza muda wa maongezi pamoja na MB. Bado hawajaweka bayana nini kinachoendelea chini ya kapeti tumesubiri hata kutumiwa ujumbe ila hakuna kitu.
==================

attachment.php

Leo nimeshangazwa sana na Tgo, nimenunua kifurushi cha shilingin6000 cha internet naambiwa ni shng 7000 kwa GB 2 kwa wiki, halafu nilipoamua kunua nikashangaa wananiambia napata GB 1 ila 3500 nikabaki najiuliza kwanza kwa nini wanapandisha bei ya kifurushi bila taarifa maana kifurushi cha wiki ni 6000 na hii option ya kulazimishana nachagua 7000 kama walivyosema then inaibuka 3500 kwa GB 1 kwakweli tigo ni wezi sana. January Makamba anajua wanachotufanyia haya wakampuni ya simu sema atakuwa kuna namna wanamjali.
 
Back
Top Bottom