Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Naweza kupata wapi line ya eatel?
499= mb 8
999 = mb 8
Kifurushi cha wiki kwa 1999 ilikuwa mb 300, sasa mb 8...
Hao airtel wenyewe wezi tuu unanunua vifurushi kwa airtel money wanakata hela na huduma hupati, bora zantel mara mia kuliko hiyo mitandao mitatu
Nunua vocha ya zantel ya mia5, piga *149*07# ujionee mwenyewe.., ni super! speed zao ni turbo charged!Nahamia rasm airtel o zantel, wanaojua bundle za zantel plz ili nkichagua nisibadili tena.. maana mpaka sasa airtel ndo wananishawishi
Kaaazi kweli kweli...
kweli Tigo haifai kwa kweli kwa mfano mimi nimezoea kununua kabang ya week kwa sh 3500 leo nimenunua vocha ya 3500 najaribu kununua nimekuta bei imepanda hadi 4999 ni hatari na unapewa 60 mbHali inazidi kuwa mbaya kwa watumiaji wa smartphone, tigo nao wamepunguza mb hadi mb8 kwa siku hii ni mara baada ya hapo jana voda kupunguza hadi mb8.
Mi kwa tigo uwa najaza cha University bundle mitaa flan japo sio mwanachuo! vifurushi vingine majanga
kweli Tigo haifai kwa kweli kwa mfano mimi nimezoea kununua kabang ya week kwa sh 3500 leo nimenunua vocha ya 3500 najaribu kununua nimekuta bei imepanda hadi 4999 ni hatari na unapewa 60 mb
Nakuomba usiifanyie promo zantel. Ukifanya ivo watu wote watamiminika zantel na kuharibu myandao. Zantel ni rahisi kwasababu wanavuta wateja tuuu.