Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,573
Duh!
Natumai airtel hawatabadilisha nao vifurushi vyao ndani ya siku kadhaa maana huu uzi wa nne tofauti nauona ndani ya muda si mrefu kuhusiana na voda.
Usiende tigo, nako majanga!
Lazima mitandao yote wapandishe na kubadili maana tatizo ni sera ya kodi ya mawasiliano..kuna mabadiliko ya kodi kwa hiyo lazima gharama zipande..muwalaumu TCRA siyo mitandao!