R.i.p vodacom, r.i.p tigo . Happy birthday airtel
AIRTEL nakuja voda wamenitimua
R.i.p vodacom, r.i.p tigo . Happy birthday airtel
mh...kumbe maskini ni wengi eeh!!
Watu wana hamasishana kuhama Voda na Tigo na kwenda Airtel kutokana na kupunguzwa kwa MB.
Naunga mkono kwa nia moja kesho naachana na line zangu za voda nanunua airtel.
Watu wana hamasishana kuhama Voda na Tigo na kwenda Airtel kutokana na kupunguzwa kwa MB.
Naunga mkono kwa nia moja kesho naachana na line zangu za voda nanunua airtel.
Tuliza mpira kwanza. Haya makampuni huwa hayakurupuki moja moja, huwa wanaingia makubaliano ya kupandisha kwa pamoja mara nyingi. Hama baada ya wiki, kesho mapema mno, maana nafikiri airtel wataunga tela si muda mrefu.
Tena leo Airtel wameleta magari madogo, kesho watatuletea nyumba ndogoWatu wana hamasishana kuhama Voda na Tigo na kwenda Airtel kutokana na kupunguzwa kwa MB.
Naunga mkono kwa nia moja kesho naachana na line zangu za voda nanunua airtel.
Tuliza mpira kwanza. Haya makampuni huwa hayakurupuki moja moja, huwa wanaingia makubaliano ya kupandisha kwa pamoja mara nyingi. Hama baada ya wiki, kesho mapema mno, maana nafikiri airtel wataunga tela si muda mrefu.
Tena leo Airtel wameleta magari madogo, kesho watatuletea nyumba ndogo
Ndio maana yametuulia TTCL yetu.
I miss you Eva Mwabulambo
rudisha mapema kabla hawajakusahau..Jana thu nimethajiri lain mpya ya Voda daah thatha thijui niirudithe
Mda wa kampen huu ebu mtulie kwnz tukusanye hla za Tshirt,kofia khanga na vipeperushi...
Ebo!.. vijana wa dot com mbn mnafujo?!