Mitambo ya kufulia umeme wa gesi ni used

Mitambo ya kufulia umeme wa gesi ni used

Shamba La Bibi. Ndio Maana Mwaka Huu, Tunataka Kufanya Mabadiliko. Tuyangoe Haya Manyangau.
 
Fundi mmoja aliyefunga mitambo hiyo, anadai mitambo hiyo ni 2nd hand. Je serikali walitoa taarifa ya hali a mitambo? Je wanasema kwamba ni used? Kama walisema ni mipya, basi tushapigwa tena na tatizo la umeme litandelea kutuandama.
Mitambo ya kinyerezi ni mipya kabisa hapo nasema ukweli nimeiona mwenyewe lm 6000 PF ulimwenguni ipo Tanzania na marekani pekeee
 
Fundi mmoja aliyefunga mitambo hiyo, anadai mitambo hiyo ni 2nd hand. Je serikali walitoa taarifa ya hali a mitambo? Je wanasema kwamba ni used? Kama walisema ni mipya, basi tushapigwa tena na tatizo la umeme litandelea kutuandama.

toa source ya taarifa yako,otherwise huna hoja ila unataka uone watu wanacomment nn kwa ujinga wako
 
Tanzania kupitia serikali ya CCM haijawahi kununua mitambo mipya hata siku moja kwa hiyo hapo sioni ajabu.Cha muhimu tuipige chini oct.25 ili tuanzee kuona mitambo mipya ikiingizwa nchini.

Hatutatumia tena ma VX mkuu?
 
ndo mana mgao unaendele nini coz umeme bado unasumbua licha ya kusema gesi imeshaanza kazi na kuwe vipindi viiingi vya gesi ili watu wafurai na kushawishika kuipigia ccm
 
Fundi mmoja aliyefunga mitambo hiyo, anadai mitambo hiyo ni 2nd hand. Je serikali walitoa taarifa ya hali a mitambo? Je wanasema kwamba ni used? Kama walisema ni mipya, basi tushapigwa tena na tatizo la umeme litandelea kutuandama.
Tanzania tumezoea kununua second hand na hela nyingine tunaweka mfukoni. Umesahau ndege ya rais? Umesahau radar? Umesahau kivuko cha Kigamboni? Na umesahau mitambo ya Richmond? Ni second hand mbele kwa mbele.
 
Fundi mmoja aliyefunga mitambo hiyo, anadai mitambo hiyo ni 2nd hand. Je serikali walitoa taarifa ya hali a mitambo? Je wanasema kwamba ni used? Kama walisema ni mipya, basi tushapigwa tena na tatizo la umeme litandelea kutuandama.

Watu kama wewe mnapaswa kushitakiwa kwa kupotosha jamii!! Jitahidi kuelewa kabla ya kukimbilia jukwaani!
Mitambo ipi inayofua umeme kwa kutumia gesi kwa sasa??
Kwa taarifa yako mpaka sasa tunatumia mitambo ya Ubungo amboyo ilikuwa inatumika kufua umeme hata kabla, mitambo mipya ya Kinyerezi 1bado haijaanza sasa yeye kafunga ipi???
 
Tukinunua vipya bei yake mnaijua ?? Maana hamkawii kukokotoa mara hii ingetosha kununulia madawati mangapi sijui blah blah blah

Kama tulivyonunua melli used ya kutoka Bagamoyo to Dar!

Bei yake ni karibu mara mbili ya bei ya meli ya bakhresa mpya "zanbr to Dar" ya kisasa iendayo kasi kubwa na inabeba abiria wengi Zaidi na hali mafuta kama chakavu tulioinunua!!
 
Kwan sikuna SHERIA ilipitishwa na bunge letu ya kununua vifaa chakavu hasa mitambo au Mimi kumbukumbu zangu sio sawa
 
Kasinge Fundi aliye kwambia mitambo ni mibovu sio fundi na wala hajui taaluma ya ufundi,Kumbuka kuwa kunakuwa ni kipindi cha majaribio haswa kwenye hizo Site kubwa za umeme,so kitaalamu tunaita kipindi cha kutesti machine ha uwa haziend full load hii tu ni kwa ajili ya kufanya setting na either calibration,Hivyo basi ulicho andika jaribu kukifikiria mara mbili nikiamini kabisa wewe si mtaalamu wa umeme na hujui principle za commission
Fundi mmoja aliyefunga mitambo hiyo, anadai mitambo hiyo ni 2nd hand. Je serikali walitoa taarifa ya hali a mitambo? Je wanasema kwamba ni used? Kama walisema ni mipya, basi tushapigwa tena na tatizo la umeme litandelea kutuandama.
 
Kasinge Fundi aliye kwambia mitambo ni mibovu sio fundi na wala hajui taaluma ya ufundi,Kumbuka kuwa kunakuwa ni kipindi cha majaribio haswa kwenye hizo Site kubwa za umeme,so kitaalamu tunaita kipindi cha kutesti machine ha uwa haziend full load hii tu ni kwa ajili ya kufanya setting na either calibration,Hivyo basi ulicho andika jaribu kukifikiria mara mbili nikiamini kabisa wewe si mtaalamu wa umeme na hujui principle za commission
Mimi si fundi kweli. Kwa hiyo mitambo hiyo ni mipya na jamaa kaniingiza chaka?
 
Back
Top Bottom