Mitambo ya kufulia umeme wa gesi ni used

Mitambo ya kufulia umeme wa gesi ni used

kasinge

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2011
Posts
1,259
Reaction score
319
Fundi mmoja aliyefunga mitambo hiyo, anadai mitambo hiyo ni 2nd hand. Je serikali walitoa taarifa ya hali a mitambo? Je wanasema kwamba ni used? Kama walisema ni mipya, basi tushapigwa tena na tatizo la umeme litandelea kutuandama.
 
Fundi mmoja aliyefunga mitambo hiyo, anadai mitambo hiyo ni 2nd hand. Je serikali walitoa taarifa ya hali a mitambo? Je wanasema kwamba ni used? Kama walisema ni mipya, basi tushapigwa tena na tatizo la umeme litandelea kutuandama.


Makubwa hayo!
Hivi tenda yake ilitangwazwa lini vile?
 
Tanzania kupitia serikali ya CCM haijawahi kununua mitambo mipya hata siku moja kwa hiyo hapo sioni ajabu.Cha muhimu tuipige chini oct.25 ili tuanzee kuona mitambo mipya ikiingizwa nchini.
 
Hivi kwanin ufisadi mkubwa unakuwepo kwenye masuala ya uzalixhaji na upatikanaji umeme hapa tz km kumbukumbu zangu ziko sahihi???
 
Hawaaminiki tena.We' unamkuta mwuza duka lako live akikuibia halafu unamrudisha kuendelea kuuza bidhaa dukani kwako?Bahati mbaya ndiyo hiyo ya watz. kusahau na kupuuza,tutalialia sana kwani hatuchukui hatua.Wakati ni huu, haupatikani tena hadi miaka 5 ipite tena.
 
Fundi mmoja aliyefunga mitambo hiyo, anadai mitambo hiyo ni 2nd hand. Je serikali walitoa taarifa ya hali a mitambo? Je wanasema kwamba ni used? Kama walisema ni mipya, basi tushapigwa tena na tatizo la umeme litandelea kutuandama.

Haya na mimi nasema pia kuna mzee anamfahamu Mlm.Nyerere anasema hajafa bado lile tulilozika ni sanduku tupu na Mlm.Nyerere mwenyewe yuko Msasani kwake na bado anaishi, halafu pia hata fisadi Lowasa niliambiwa kwamba bado yuko CCM na wala hajahama huyu tunayemuona majukwani na ukawa ni Mzee mmoja tu ktk Arusha ambaye anafanana naye lkn Lowasa mwenyewe yuko Dodoma!
 
Fundi mmoja aliyefunga mitambo hiyo, anadai mitambo hiyo ni 2nd hand. Je serikali walitoa taarifa ya hali a mitambo? Je wanasema kwamba ni used? Kama walisema ni mipya, basi tushapigwa tena na tatizo la umeme litandelea kutuandama.

hii sekta ya nishati kwanini matatizo hayaishi?
 
Fundi mmoja aliyefunga mitambo hiyo, anadai mitambo hiyo ni 2nd hand. Je serikali walitoa taarifa ya hali a mitambo? Je wanasema kwamba ni used? Kama walisema ni mipya, basi tushapigwa tena na tatizo la umeme litandelea kutuandama.
Ndo serikali wamesema hivyo na kuthibitisha au umeamua kumuamini huyo fundi?
 
Jamani jamani!Halafu bado kuna wajinga wanaoendelea kuiunga mkono CCM kweli?
Kila manunuzi makubwa ya nchi hii lazima watu wapige pesa!
 
Tukinunua vipya bei yake mnaijua ?? Maana hamkawii kukokotoa mara hii ingetosha kununulia madawati mangapi sijui blah blah blah
 
hii sekta ya nishati kwanini matatizo hayaishi?

Kuna watu wana interest zao ndo maana. Unakuta waziri fulani ana tender ya kuzalisha umeme wa upepo mwingine ana generator zao. Umewahi kujiuliza kwanini Marekani wanawavamia hawa waarabu na nchi yao iko upande wa pili wa uso wa dunia??
 
Hivi kwanin ufisadi mkubwa unakuwepo kwenye masuala ya uzalixhaji na upatikanaji umeme hapa tz km kumbukumbu zangu ziko sahihi???

Unamuuliza nani sasa gamba wewe?Jambi liko wazi halafu unauliza?
Mbaya zaidi utaenda kuwapigia kura haohao wapigaji!
 
Back
Top Bottom