Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Mimi nashangaa hii serikali ya SISIEMU inamwogopa nani. Huo ni uozo kuingia mkataba na kampuni feki. Uhalali wa Dowans sasa hivi unatoka wapi? Serikali inatakiwa kuitafisha ile mitambo kisha iwashwe. Hata kama Dowans wataenda mahakamani wananchi watakuwa wameshapata nafuu.
Kama serikali iliwahi ku-deal na kesi za uhujumu nchini before, kinawashinda nini kutaifisha hii mitambo ya kitapeli?
Kuingia mkataba mwingine na dowans ni kuwahalalisha from Fake to legitimate company. Na kamwe dowans haiwezi kuwa kampuni HALALI.
Kama serikali iliwahi ku-deal na kesi za uhujumu nchini before, kinawashinda nini kutaifisha hii mitambo ya kitapeli?
Kuingia mkataba mwingine na dowans ni kuwahalalisha from Fake to legitimate company. Na kamwe dowans haiwezi kuwa kampuni HALALI.