Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
Wakuu,
Mimi nadhani kuwashwa kwa mitambo si tatizo, tatizo ni mchakato mzima toka wameanza kwa Richmond hadi Dowans!!! Wakuu wetu wa nchi wamekaa kutowatambua wamiliki, ilhali hayo yakitokea na saga lote kwenda mbele na nyuma, tunaishia kuambiwa prime minister anasema mitambo inawashwa, sasa does this mean uozo wote umekwisha? Utapeli wote umekwisha, haya makampuni yamekuwa safi? Maana ikumbukwe Richmond ilitamkwa bungeni kuwa kampuni hewa, Dowans pia....
Ina maana serikali leo imemjua mmiliki? IPTL haina tabu maana mmiliki anajulikana, shida ni umbumbumbu wa viongozi wetu waliosign mkataba wa kijinga, we are continually paying the price...
Mimi nadhani kuwashwa kwa mitambo si tatizo, tatizo ni mchakato mzima toka wameanza kwa Richmond hadi Dowans!!! Wakuu wetu wa nchi wamekaa kutowatambua wamiliki, ilhali hayo yakitokea na saga lote kwenda mbele na nyuma, tunaishia kuambiwa prime minister anasema mitambo inawashwa, sasa does this mean uozo wote umekwisha? Utapeli wote umekwisha, haya makampuni yamekuwa safi? Maana ikumbukwe Richmond ilitamkwa bungeni kuwa kampuni hewa, Dowans pia....
Ina maana serikali leo imemjua mmiliki? IPTL haina tabu maana mmiliki anajulikana, shida ni umbumbumbu wa viongozi wetu waliosign mkataba wa kijinga, we are continually paying the price...