Long'ututi
Member
- Dec 5, 2010
- 41
- 4
Wandugu nataka nimvishe mtu pete ya uchumba na nimemhaidi siku nyingi ila pesa ina matumizi mengi naona nijitose tu ni mvishe asije niona msanii...Pete zinaanzia hw much?
mwambie basi wapi anaweza kuzipata ?Kama mnaiga ya wazungu muige kwa ukamilifu. pete ya uchumba inatakiwa iwe na thamani kama unavyomthaminisha mwanamke wako hata kwa kutoa pesa zako zote bank. nunua hata yenye tanzanite kama sio diamond
Kama mnaiga ya wazungu muige kwa ukamilifu. pete ya uchumba inatakiwa iwe na thamani kama unavyomthaminisha mwanamke wako hata kwa kutoa pesa zako zote bank. nunua hata yenye tanzanite kama sio diamond
Wandugu nataka nimvishe mtu pete ya uchumba na nimemhaidi siku nyingi ila pesa ina matumizi mengi naona nijitose tu ni mvishe asije niona msanii...Pete zinaanzia hw much?
mkuu hizo huwa hazibadilishwi!!uliyovalishwa kanisani inakuwa na upako wa ndoa hivyo ukimbadilishia haitakuwa na upako!!Hahhaaaaa za wamachinga noma, mimi nataka ya ndoa nimvalishe tena my wife wangu....
mkuu hizo huwa hazibadilishwi!!uliyovalishwa kanisani inakuwa na upako wa ndoa hivyo ukimbadilishia haitakuwa na upako!!
Hvi huwa znauzw bei gani vile ili na me nijpange?
Wandugu nataka nimvishe mtu pete ya uchumba na nimemhaidi siku nyingi ila pesa ina matumizi mengi naona nijitose tu ni mvishe asije niona msanii...Pete zinaanzia hw much?
Bei inategea na ukubwa/uzito! But jiandae kwa 500k!
ya machinga bhana utakuwa kama humjaliwamachinga hawapiti mtaani kwako mkuu?
ya mwanzo ulimvua?lolHahhaaaaa za wamachinga noma, mimi nataka ya ndoa nimvalishe tena my wife wangu....