Shabdullah
Member
- Feb 17, 2020
- 65
- 52
Habari kaka na ndugu zangu,
Nimekuja na swali kwenu wanajukwaa nataka kujua kuhusu pete ya uchumba. Sasa nimeingia kwenye penzi la kweli na tunahitaji kuvishana pete ya uchumba. Binafsi mimi ni mgeni sana kwenye suala la pete, sijui hata naanzia wapi, mpaka najiuliza, kwani pete yenyewe inasemaje kuhusu mimi.
Kuna maswali mengi najiuliza kuhusu pete hio ya uchumba. Nataka kijua kua:-
Pete hii ina utofauti gani na pete nyengine kimuonekano?
Je, inavalishwaje, ni lazima kupiga magoti, ni lazima mbele za watu. (Inahitaji sehemu maalumu)
Je, nilazima nivae popote niendapo au nilipo?
Je, pete hii ina gharama gani (bei yake)?
Faida ya pete hii ni ipi? (mimi najua ni alama ya uchumba).
Hasara ya pete hii ni ipi?
Na jamii inakuonaje ukivaa pete hii.
Wanajukwaa hili naomba msaada wa maswali yangu haya nataka nijue ili nijue nafanya nn?
Nimekuja na swali kwenu wanajukwaa nataka kujua kuhusu pete ya uchumba. Sasa nimeingia kwenye penzi la kweli na tunahitaji kuvishana pete ya uchumba. Binafsi mimi ni mgeni sana kwenye suala la pete, sijui hata naanzia wapi, mpaka najiuliza, kwani pete yenyewe inasemaje kuhusu mimi.
Kuna maswali mengi najiuliza kuhusu pete hio ya uchumba. Nataka kijua kua:-
Pete hii ina utofauti gani na pete nyengine kimuonekano?
Je, inavalishwaje, ni lazima kupiga magoti, ni lazima mbele za watu. (Inahitaji sehemu maalumu)
Je, nilazima nivae popote niendapo au nilipo?
Je, pete hii ina gharama gani (bei yake)?
Faida ya pete hii ni ipi? (mimi najua ni alama ya uchumba).
Hasara ya pete hii ni ipi?
Na jamii inakuonaje ukivaa pete hii.
Wanajukwaa hili naomba msaada wa maswali yangu haya nataka nijue ili nijue nafanya nn?