...ata rais ananijua, nenda kamuulize mwanae... Moe
wanawe wasipoongea nae,ntaongea nae mwenyewe. Dah juma ni kiboko yao.
Eti wanachonga kuna dem wa mikocheni uligonga.nasikia liyumba alisha gonga,ila nakuaminia mwanangu ni mtu wa kinga
nakunyonga mi simo.ila ganja labda zamani kdogo nilkwemo na ndo maana hadi leo bado znanpa msimamo
na mjanja hali madude zaid ganja
hold on. Hapo nadhani alikuwa anamwambia dr.levy