Mistari kwenye hip hop ya Bongo ilitia fora

Mistari kwenye hip hop ya Bongo ilitia fora

hoya DARK ntoe bati nikanywe chai,
mchana ikifika ntamuibukia MAJANI,
usiku sijui nimtimbie KIMARIO,
Nimeshachoshwa na maisha ya kuunga,
nimeshachoshwa na hii hali kichwa inanivuruga,
mziki wa kutoka kila siku mi nautunga,
najua ipo siku ntatoka ata kama wananiroga, wanga tu hawanitishi lolote ata mama alishasema kuwa maisha ni vita blah blah. MTOTO WA KIUME BY GEEZ MABOVU.
 
nimekuwa kinara kila kitengo mi nang'ara .nyumbani mi nimeaga kwa matambiko nasa usile zile za kinyampara AY.hapa ni chuma cha pua inabidi bwana hautakiwi kutamhua ndio sababu unataka kutibua kwangu we bwetele kama ndege mi tai utabaki kuwa tetere
 
nimekuwa kinara kila kitengo mi nang'ara,nyumbani nimeaga kwa matambiko na sala,JAY nipe mistari P. Naomba ala.
 
Sikiliza braza kaka,
Kati yangu mimi na wewe hakuna aliyekamilika,
Kama kuoga ni usafi taulo lisinge chafuka....
 
Ni kama tren inavokata upepo men....(gwair ur lying )....yeah i wish ungekuwepo ..si ushamwona anvo-dance kwa floor ..bas kwa bed ndo soo..kachaa uta-bloo...non stop ..non stop bby giv'me some more ..napenda unavo -shake kwa beat unavo-go. By mangwea singida-dodoma
 
hahaha sie tunasubiri isiwe ya kukopi na kupaste
Mimi natoka mbeya ukinichokoza tutaonana wabaya
Nina mistari na tungo tata muulizeni mzee wa kaya
Ubunifu si lele mama, nidhamu yahitajika msikimbie kusoma,
Hii ni awamu ya nne safari za nje kamwe hazitakoma....


Kidogo kidogo mpaka nitakamilisha nyimbo kama kina Roma ....
 
TID & Jaymoe - Girlfriend....
Ukimwona utamwona natural - siyo mpenda makuu
Ni mwenye tofauti kubwa - kuanzia chini mpaka juu
Mtoto ana mapozi - kiboko ya masista du
Na kila nikimtazama - nazidi kumpenda tuu

hii mistari tuuuuuu
Utakuwa ulisoma 5&6 Mawenzi Sec haa haa haa
Kumbe na wewe umo...
 
ndan ya bongo mambo super hapana uongo ingawa sametimes bongo chungu kama sifogo nafanya makalatee kama machinga mtaa wa kongo na kimtindo mtindo nakata ngembe za mtima nyongo,hapana mataa kitu roho inapenda bongo utapata bmgo dsm ni mchezo wa
 
kutakata nenda viwanja vya bongo utashanga .pita slepy way,blue palm au mambo club.kama hujazoe unaweza kuvunja shingo mambo si mingo watu mkononi na nokia lingo.pita mwananyara oo mateja kibao katiza saa mojamoja uone loba za mbao
 
Nashika ileile ile namba moja..natamba eeh jaa,balozi bado nipo palepale kwenye chat natambaa namba eeh yah....!!
 
Asante sana prof Jay ulamaa na Majani umegusa ninapotaka,Nasema Yes very nice fani ni kama dhehebu Mcs ni wafuasi
Maana kila kukicha Mcs wanaongezeka ,Wana rap bora ku rap mistari imekosa Vinaa..!!
Na yenye vina haina
Mnapenda kutetana mnapenda kulumbana
Taarabu ilikuja kwa kushindo hadi wagumu waliihusudu lakini ikafa kibudu
Shabiki piga simu nani tumchune ngozi,Producer aliyerekodi au presenter anaye piga redioni

Ni mtazamo zamo Mcs usikwepe umande ni bora ukemee maovu na usifie mazuri X3
 
Usinitafute kwenye Simu,
Hua inarusha stimu,
Nafanya VOCAL studio nashindwa kupokea simu.

Niko bize sana shori,
Ndio maana nakupa sorry,
Nita-call kila night tupige story.
 
Back
Top Bottom