Mistari kwenye hip hop ya Bongo ilitia fora

Mistari kwenye hip hop ya Bongo ilitia fora

Maisha yangu yote nimepata sana tabu/
Nashangaa raha kidogo chuki bila sababu/
Sijawafanyia madhambi vipi wanataka nitubu/



Kweli jeuri dawa Yake ni kiburi/
Naminitabaki mbishi mpaka nilione kaburi/

Mr II Sugu.
 
Suma Mnazaleti-Nyota.
"Serikali imeacha Nchi baada ya mfumo wa uvunaji/
Maisha yanavyochange wanalalamika mpaka wakabaji/

Hebu jiulize nafsi yako dili ya rich ingekuwa yako mondi ungeuacha ule mshiko.
 
Kibonde anatukana watu ovyo redioni,
Hatari iliyo mbeleni wala haoni,
Au anavyosambaza Ngoma mitaani,
anadhani hatumuoni,....Sugu - I wanna Kill
Dear madam mchomvu na bibi Twelvu poleni sana na uchovu wa ubishoo/
Nia namadhumni kuwapaka choo/

Mwabieni shosti wenu chakali hajui kufloo/

Hofu na mashaka juu ya ni unafiki wenu na wasiwasi wa maisha utadhani mademu.

Hahaha Mikia sasa mnafyata..

Hello Wafu FM-Dann
 
Me ninaweza fanya hadi madawa yakaugua -jasusi fid q
2.kama biashara ya madini,migodi yote naimiliki mimi by mwanafa
3.don kama corleone,maadui wangu hawaponi by fa
huu uzi unabidi uwe sticky!
Fid q -.Com

Mashairi yanasambaa kila mahali mithili ya nzi/
Yaani kama mashahidi wa yehova na habari za mnala wa mlinzi/

Sio machafu mithili ya milma wa kin**si/
Isipokuwa mpumbavu maneno ya kipuuzi huyanyaka upesi/.
 
Dear madam mchomvu,na bibi twelve,poleni sana kwa uchovu wa ubishoo.lengo na madhumuni kuwapaka choo mwambieni shosti wenu ncha kali hajui kuflow
mnataka kuolewa mbona mnajipodoa? Dany msimamo vinega.
Pisha njia nimuingilie mchomvu/
Huyu Mc mbovu anaongea kama untovu/
Halafu Mshahara mbovu/
Ananikumbusha kovu/
Bora akae kimwa aendelee kula alebata/
Bia zenyewe ananunuliwa, anakula vipi bata..?/

B twilzo nikiulizo ni mboga au boga/
*** fetti niqqer tena analiwa kiboga/

Hello Wafu Fm.
 
wanao Skiliza hawaskiii wanaoskia Hawaskilizi,, machizi si miujiza tunasonga namna Hii!!

Tunasonga Kwa Mwendo wa Farasi Au Kinyonga!!
"Shitka Jamani acha mashuka kitandani

Dukani moshi unafuka hamuoni suka anaacha lami.

Hasheem.
 
SONGA ni msanii wa juzi lakini nimetokea kumkubali sana dogolas,,anakwambia- "peleka ubaguzi wa rangi kwenye ufuaji wa nguo"..... au mstari mwingine "sigara ni hatari kwa afya yako kwa maelezo zaidi endelea kuivuta"
Sabuni ya jana ila povu la leo/

Bora kipofu wa macho nasio kipofu wa upeo/

Songa-Mathematrix
 
nilianza la kwanza,nilianza kusema hadithi sisemi tena,rap sirap tena,maovu yamejaa hakuna mema,naitwa zomba nataka kupiga dumba duniani ka motoni naota ndoto za peponi,namwona shetani,ananiuliza we nani,na unataka nini pesa na majumba ya kifahari,njoo nifuate mimi,ila kuwa makini,yooh naenda kwa kasi ila naona giza,wee naona giza,nasonga mbele litakalo liwa na liwe,nipo mwenyewe katikati mbele mbali nyuma mbali,nakutana na mambo mengi ili mradi hatari,unnyama night kali wakati hatuna kitu.......KWANZA UNIT
Umetisha Mkuu...


Mimi msafiri Alisina bado nipo njiani.


Kweli yanalipa mapinduzi ya fikra.
 
Ufikapo Roma, Fanya kama wafanyavyo Warumi.
Himaya hii ni ya Kwanzania, Wote Karibuni,
Mgeni siku ya Kwanza, ya pili mpe Jembe akalime,
Haya Shime, Haya Shime,
Vita hivi si vya Rungu, Mkuki wa Sime,
Nakana Shitaka la Utoro,
Safari ndio kwanza imeanza, Wazee wa Baraza, Mahakimu,
Majaji na Wanajim,
Wanafalsafa, Wakufunzi wa Elimu ya Saikolojia,
Watawa ndani ya Parokia,
Maandiko Makuu, Quraan, Taurati na Biblia,
Dhahabu na Almasi enzi za mashimo ya mfalme Suleiman yote yamebaki hadithi
Na huko Nchi ya misri U-Mungu mtu ushamshinda firauni/
Ole wako useme rap uhuni/
Adili na nduguze waliobaki makini/
Fanya Tathimni toka tisini Wewe uingie mjini/
Vipi bado hujashika mpini/
 
Chorus
Mimi msafiri bado niko njian
Sijui lini nitaafiika naulizia watu
Huko ninakokwenda Sijui lini nitaaafika
Dira upeo wa akili hauna siri utajiri
Kabla tafsiri Tasbihi Tafakari Tafadhali.
 
Waambie wenye HIV nipo nao kula ARV pamoja

Kala Jeremia
 
Machizi wanajua me kamanda wasua,
Ukinipa boya namfua, hata kama ana kifua,
Hapa nilipo na mafua ukinipa kipaza nakamua. Lord Eyez-N2N Ndo zetu!
 
Dira upeo wa akili hauna siri utajiri
Kabla tafsiri Tasbihi Tafakari Tafadhali.
Chief Rhamson (Zavara) katika ubora wake wa hali ya Juu kabisa. Hii ilikua remix ya "Msafiri" ya King Kikii ya miaka hiyo.
Kizazi cha kina Diamond, Ray Van na sijui Bright ni ngumu sana kuijua hii Pin.
 
P the mc wakorea huniita jumong/
hasira zinafanya sura kuonekana yutong/
hatubebwi na tunamove on/
kupata au kukosa yote heri man who knows/
 
Chief Rhamson (Zavara) katika ubora wake wa hali ya Juu kabisa. Hii ilikua remix ya "Msafiri" ya King Kikii ya miaka hiyo.
Kizazi cha kina Diamond, Ray Van na sijui Bright ni ngumu sana kuijua hii Pin.
Ndio ndio ni ngumu sana kulifahamu hili pini kali.

Mimi Pia nipo kwa kizazi cha kina rayvann,lakini nyimbo zangu kijana mwenzangu atashangaa kwa sababu atakutana na Majitu,Msondo ngoma-Weka Mambo hadharani,Tx Moshi,Mbaraka mwinshehe, Mwanameka-Marijani rajabu na sugu,John Mjema,Duznundaz,East coast.

Msafiri hili pini ni moto wa kuotea mbali.

Sugu Mr II-Hold on

"Wasio kujua watijifanya wanakujua, na ndio wakwanza kusema mambo wasiyo yajua",


"Lazima uwe mjanja na mjanja hali madude zaidi ganja"
 
Ndio ndio ni ngumu sana kulifahamu hili pini kali.

Mimi Pia nipo kwa kizazi cha kina rayvann,lakini nyimbo zangu kijana mwenzangu atashangaa kwa sababu atakutana na Majitu,Msondo ngoma-Weka Mambo hadharani,Tx Moshi,Mbaraka mwinshehe, Mwanameka-Marijani rajabu na sugu,John Mjema,Duznundaz,East coast.

Msafiri hili pini ni moto wa kuotea mbali.

Sugu Mr II-Hold on

"Wasio kujua watijifanya wanakujua, na ndio wakwanza kusema mambo wasiyo yajua",


"Lazima uwe mjanja na mjanja hali madude zaidi ganja"
Embu basi tupia humu na Mistari ya "Utaona" ya Baggz Malone, nae alikua member wa KU Crew pia
 
Back
Top Bottom