Mistari kwenye hip hop ya Bongo ilitia fora

Mistari kwenye hip hop ya Bongo ilitia fora

Watu na heshima zao wamemegewa vicheche wao, eeh sembuse kigoli mwenzao_fa
fanya yote ila angalia usiende jela kipuuzi_sugu
 
dah kuna kitu cha MISTARI YA BLACK RHINO.
NAKULA UCHOCHORO,FANI GIZA TOTORO
MA MC NAWAMEZA KAMA NATAFUNA KIPORO,NAFIKA HADI KULE MORO... MOROGORO.
 
Wasomi ni watumwa wa wanasiasa-Joh Makini
 
naahidi kuwa makini mpaka siku nafukiwa chini na mungu aliye hai bado yu pamoja na mimi-prof jay
kila wakati kwenye gazeti jina langu kwenye ukurasa wakati kati .........tu------ bado miaka miwili ifike mwaka 2000 nasi tuzidi zaid na zaid mr 2 (niite mr ii 1998)
 
Super matimila nawatupa mkizila,Christopher NAUA kila mti wananiita MTIKILLER! by Songa.

SONGA ni msanii wa juzi lakini nimetokea kumkubali sana dogolas,,anakwambia- "peleka ubaguzi wa rangi kwenye ufuaji wa nguo"..... au mstari mwingine "sigara ni hatari kwa afya yako kwa maelezo zaidi endelea kuivuta"
 
"Dunia tambara bovu nalidekia kwa shida,najaribu kui'solve bila kutumia four figure". "Umasikini unanipodoa bila kutumia cosmetics,daily unanizodoa unanivuta kama magnetics".

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
namwona kama ana-force kipaji
 
SONGA ni msanii wa juzi lakini nimetokea kumkubali sana dogolas,,anakwambia- "peleka ubaguzi wa rangi kwenye ufuaji wa nguo"..... au mstari mwingine "sigara ni hatari kwa afya yako kwa maelezo zaidi endelea kuivuta"
nilianza la kwanza,nilianza kusema hadithi sisemi tena,rap sirap tena,maovu yamejaa hakuna mema,naitwa zomba nataka kupiga dumba duniani ka motoni naota ndoto za peponi,namwona shetani,ananiuliza we nani,na unataka nini pesa na majumba ya kifahari,njoo nifuate mimi,ila kuwa makini,yooh naenda kwa kasi ila naona giza,wee naona giza,nasonga mbele litakalo liwa na liwe,nipo mwenyewe katikati mbele mbali nyuma mbali,nakutana na mambo mengi ili mradi hatari,unnyama night kali wakati hatuna kitu.......KWANZA UNIT
 
nilianza la kwanza,nilianza kusema hadithi sisemi tena,rap sirap tena,maovu yamejaa hakuna mema,naitwa zomba nataka kupiga dumba duniani ka motoni naota ndoto za peponi,namwona shetani,ananiuliza we nani,na unataka nini pesa na majumba ya kifahari,njoo nifuate mimi,ila kuwa makini,yooh naenda kwa kasi ila naona giza,wee naona giza,nasonga mbele litakalo liwa na liwe,nipo mwenyewe katikati mbele mbali nyuma mbali,nakutana na mambo mengi ili mradi hatari,unnyama night kali wakati hatuna kitu.......KWANZA UNIT

Songa mbele Songa,
Ya uwezi kaa chonjo saa mbaya Mjomba,
Pesa yaleta Mvuto, Misukosuko, Pomoja na mabalaa yaliozagaa,
Nyuzi 360
 
nilianza la kwanza,nilianza kusema hadithi sisemi tena,rap sirap tena,maovu yamejaa hakuna mema,naitwa zomba nataka kupiga dumba duniani ka motoni naota ndoto za peponi,namwona shetani,ananiuliza we nani,na unataka nini pesa na majumba ya kifahari,njoo nifuate mimi,ila kuwa makini,yooh naenda kwa kasi ila naona giza,wee naona giza,nasonga mbele litakalo liwa na liwe,nipo mwenyewe katikati mbele mbali nyuma mbali,nakutana na mambo mengi ili mradi hatari,unnyama night kali wakati hatuna kitu.......KWANZA UNIT
Chorus
Mimi msafiri bado niko njian
Sijui lini nitaafiika naulizia watu
Huko ninakokwenda Sijui lini nitaaafika
 
Songa mbele Songa,
Ya uwezi kaa chonjo saa mbaya Mjomba,
Pesa yaleta Mvuto, Misukosuko, Pomoja na mabalaa yaliozagaa,
Nyuzi 360
safari ni ndefu,kama majeshi na mitutu,wazungu na na vikapu,wazima na wafu,
 
Chorus
Mimi msafiri bado niko njian
Sijui lini nitaafiika naulizia watu
Huko ninakokwenda Sijui lini nitaaafika
...nini ujanja duniani zaidi ya kusoma...
 
...nini ujanja duniani zaidi ya kusoma...

Ufikapo Roma, Fanya kama wafanyavyo Warumi.
Himaya hii ni ya Kwanzania, Wote Karibuni,
Mgeni siku ya Kwanza, ya pili mpe Jembe akalime,
Haya Shime, Haya Shime,
Vita hivi si vya Rungu, Mkuki wa Sime,
Nakana Shitaka la Utoro,
Safari ndio kwanza imeanza, Wazee wa Baraza, Mahakimu,
Majaji na Wanajim,
Wanafalsafa, Wakufunzi wa Elimu ya Saikolojia,
Watawa ndani ya Parokia,
Maandiko Makuu, Quraan, Taurati na Biblia,
 
TID & Jaymoe - Girlfriend....
Ukimwona utamwona natural - siyo mpenda makuu
Ni mwenye tofauti kubwa - kuanzia chini mpaka juu
Mtoto ana mapozi - kiboko ya masista du
Na kila nikimtazama - nazidi kumpenda tuu

hii mistari tuuuuuu
 
Back
Top Bottom