hold on naiskiliza mara nyingi, ni bora kutoka kwa sugu. Dr levy algonga dem gani ambae liyumba alpga?
Gangster kabla sijabalehe,kaulize east zoo -ngwair.
Ni siku moja tu nililia/pale baba aliponitoka/na mzigo ulinpunguzia pale ulipogeuka nyoka. Ngwair.
Nimeamua kuwa pekeangu,nichape kazi/ nisaidie ndugu,mwanangu na mama mzazi. Ngwair
hahah madogo machizi wamepinda
mkuu deo corleone na @figanniga jamani atuonani humu njooni tuliendeleze hip hop
Damu kwenye buti yangu,ganja kwenye kweye gari langu,nakodisha bunduki ila siwadhuru watu wangu,kilio changu cha kwikwi,na nina mkwanja kama Belhabou,WAJINGA WAJINGA MSINICHUKIE BILA SABABU_FA THE DON ,BINAMU,JAMES BOND UKICHOKA MUITE B.
Damu kwenye buti yangu,ganja kwenye kweye gari langu,nakodisha bunduki ila siwadhuru watu wangu,kilio changu cha kwikwi,na nina mkwanja kama Belhabou,WAJINGA WAJINGA MSINICHUKIE BILA SABABU_FA THE DON ,BINAMU,JAMES BOND UKICHOKA MUITE B.
Haaaahah nakachaso kimtulinga piga umbeta manyau-nyau makalateka peleka ngalisa shavu hinhaaaah-hinhaaah!
ngangari-kijemedart kivagalanti kidontachipira ugokoni ndochi macho mbele mbele tooo-chi haina kontrola ngoma na posonga haiofii nguvu ya dola ngalinya nyengo sekela kitutenimsobe machela ndinga imetambaa na besela
haiko mukinga kula deo chaboluningagumza kimachinga nang'olo jambo abari jenero idawakosombile nungu sakuma mena pasopa wena eyoooh!
mikito mnato ngoma bado ina moto nzito zali zikijileta usifumbie macho nyendo za kiminyato kata mtalo chalo bongo miganda galo halooooh!
chizi chizi kakabidhiwa jalala la dampo patamu hapo hapa ndipo palipo vuka soksi kiatu kikabaki wajuba zali pokidali watu ngangari eeenheeh!
ngangari dona limevaa koti tatizo noti ngangari nyomi hazisanyi whu nyikani noma kafia Sudani hoheeh-haaheeh!
GANGWE MOBB-NGANGARI>>>naweza sema huu wimbo ni ecrypted vibaya mno,haijawahi tokea nyimbo incrypted kama hii.
noma sana enzi zil mwendo wa tapes ukigusa radio ya dingi ukiweka kanda inamaliza betryWale wakongwe wenzangu watakubaliana nami kuwa Hip Hop ya Bongo haikuwa nyuma katika mistari makini ,majigambo na style za kutisha. Kwa sasa wapo vijana wanaoweza kuuendeleza Music huu hapa Bongo ila kuna vionjo vinakosekana haswa matambo ya kipindi kile.
Hebu tujikumbushe tambo za enzi zile sio mbaya pia ukaweka tambo za mistari ya kipindi hiki.
Prof Jay (Nigger jay)-wimbo wa Funga kazi(HBC)
''Kwa Jay mtapata maneno makali na mengi ya kashfa mfululizo,
Iwe ni onyo na funzo,
Kwa wanye kelele pasipo uwezo,
Wanatumia vigezo,
Unataka kurap pasipo na nyenzo,
Hayo ni mambo ya chezo,
Kutokataa maelekezo wakati huna uwezo''
Imam Abas -wimbo mitaa ya kati
''Niguse bahati mbaya ,nikuumize makusudi''
Mr. II-Sugu (II Proud)-wimbo mikononi mwa polisi
''Afande anataka kilo,
Mfukoni mimi na zero,
Nazidi kuwa mwenyeji ndani ya sero,''
Simple X -wimbo Nawakilisha
''Natikisa bongo visiwani mpaka bara,
Nimekuwa kinara ,
Kila kitengo mi nang'ara,''
Endelea....