KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Hii ni baadhi ya mistari ambayo utumika kutongozea:-
Kwa wanawake waliokuwa katika umri wakuanzia 25.......na anakata kinywaji mambo huwa hivi...
......................mmh mbuzi mtamu......mwambie mhudumu aniletee heinken hii ya tano ya mwisho na sijui kama nta weza kudrive.......naninakwambia leo wewe utanibeba na mpaka unidrive mpaka home!!!!!
watalaamu endelezeni.....
Kwa wanawake waliokuwa katika umri wakuanzia 25.......na anakata kinywaji mambo huwa hivi...
- Dada za kwako samahani sijui hapa naweza kujoin na wewe kama hautajali??
- Habari za kwako mzima?
- Mimi sijambo,mhudumu tafadhali naomba Castle ya barrriiidi msikilize dada anakunywa kinyawaji gani!
- Hapana Dada kwani ukinywa moja kutoka kwangu utagombezwa??Please bwana tafadhali sana mhudumu mletee kinywaji anachokunywa!
- Ahaa pole nini tatizo lagari yako??Basi baada ya hapa kama hautajali nina fundi wa magari yangu naweza kumwambia aje aiangalie tatizo au sijui wewe unaonaje??
- Dada wewe unaitwa nani??Mimi naitwa Rejao fingafinga marwa 25 na kazi nafanyia JF
- Dah swali zuri Sisi zipo mjini pale samora utakapo kuta kibao kimeandikwa DELL,Toshiba,HP zote ni office zetu karibu!!
- Waiter tuletee kama tulivyo naniitie mchoma nyama,vipi utapenda nyama choma?kuna mbuzi,kitimoto,kuku! sijui utapendelea nini??Mimi binafsi napenda Mbuzi!
......................mmh mbuzi mtamu......mwambie mhudumu aniletee heinken hii ya tano ya mwisho na sijui kama nta weza kudrive.......naninakwambia leo wewe utanibeba na mpaka unidrive mpaka home!!!!!
- Usijali Fasibuku kwakuwa umeshakuwa usiku basi twende na gari yangu hii tutaipaki kwa walinzi wa ofisini kwetu usitie shaka!!...............ulisema unakaa wapi??mwenge?? karibu tunafika.......
watalaamu endelezeni.....