Mistari itumikayo katika kutongozea!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,555
8,552
Hii ni baadhi ya mistari ambayo utumika kutongozea:-
Kwa wanawake waliokuwa katika umri wakuanzia 25.......na anakata kinywaji mambo huwa hivi...
  • Dada za kwako samahani sijui hapa naweza kujoin na wewe kama hautajali??
Dada:Hapana wekaa tuu!
  • Habari za kwako mzima?
Dada:Mimi mzima siju wewe!
  • Mimi sijambo,mhudumu tafadhali naomba Castle ya barrriiidi msikilize dada anakunywa kinyawaji gani!
Dada:Hapana kaka nashukuru sana mimi ninacho kinanitosha!
  • Hapana Dada kwani ukinywa moja kutoka kwangu utagombezwa??Please bwana tafadhali sana mhudumu mletee kinywaji anachokunywa!
Dada:Dah yani yani nilitaka kuondoka naenda kwa fundi unajua asubuhi gari iliniletea matatizo hivyo nataka kuipeleka!!basi naomba Heinken baridi tafadhari.
  • Ahaa pole nini tatizo lagari yako??Basi baada ya hapa kama hautajali nina fundi wa magari yangu naweza kumwambia aje aiangalie tatizo au sijui wewe unaonaje??
Dada: Hata mimi sijui ila kama unafundi ntakushukuru sana!!
  • Dada wewe unaitwa nani??Mimi naitwa Rejao fingafinga marwa 25 na kazi nafanyia JF
Dada:Mimi naitwa fasibuku AshaDii!kazi nafanya kazi Jamii saccos Nanyie za kwenu zipo wapi??
  • Dah swali zuri Sisi zipo mjini pale samora utakapo kuta kibao kimeandikwa DELL,Toshiba,HP zote ni office zetu karibu!!
Dada:Vizuri nimefurahi kukufahamu...................
  • Waiter tuletee kama tulivyo naniitie mchoma nyama,vipi utapenda nyama choma?kuna mbuzi,kitimoto,kuku! sijui utapendelea nini??Mimi binafsi napenda Mbuzi!
Dada basi wote tule mbuzi.................
......................mmh mbuzi mtamu......mwambie mhudumu aniletee heinken hii ya tano ya mwisho na sijui kama nta weza kudrive.......naninakwambia leo wewe utanibeba na mpaka unidrive mpaka home!!!!!
  • Usijali Fasibuku kwakuwa umeshakuwa usiku basi twende na gari yangu hii tutaipaki kwa walinzi wa ofisini kwetu usitie shaka!!...............ulisema unakaa wapi??mwenge?? karibu tunafika.......
DADA:Ndiyo ila nasikia kuchoka unajua kuchoka!!......unajua kudrive vizuri sijui nani kakufundisha.......kwanini na mimi usinifundishe leo kudrive kama wewe..................


watalaamu endelezeni.....
 
Dada: Nipe buku tano nataka ninunue vocha,,make nimekuta miss call,,
. Usijali,,nna hela kwe mpesa apa ,,,nakupunguzia ten kabisa.
 
Dada: Dah halafu pale kwetu walinzi wananikeraga sana sipendi kama nini...ikifika mida kama hii huwa hawakubali kufungua geti
. pole sana dada yangu mimi nakaa mwenyewe pale kwangu naingia muda ninaotak

dada: dah! safi sana dear....kwa leo basi ntalala kwako
. poa hakuna shaka dear twende tu
Dada: Nioneshe bafuni bashi dear
. unataka kuoga?
Dada: njoo nikwambie dear...huku huku bafuni
Poa ...mmmh dada umeumbika vizuriiiiii.......
Dada: Jamani weeeee mtaaamuuuuu...dah! Aaaaaaaaaaaghh shiiiiiiiiiiiii ....mmmmmmmmmhhh.....Ass. As..Assaaaa...n ...nteee. Aaagh!
 
Hapo tu tayari nimejifunza kutongoza... Unakuwa mpole,dada dada nyiiingi,afu mara kaingia mtaroni.
 
Mkaka>>Unajua dada unabahati sana kkutana na mtu maarufu kama mimi THK DJAYZZ sema utakacho nitakupa
Mdada>>Jaman kumbe ni kweli wewe ni THK nilikuwa nakusikia tu jaman !
 
Hiyo ni namna ya kutongoza kicheche, demu mtamu hatongozwi namna hiyo. Na ndio maana asali ya nyuki wa ulaya sio tamu kama wa hapa kwetu, kwa kuwa wa ulaya hawaumi
 
Hiyo ni namna ya kutongoza kicheche, demu mtamu hatongozwi namna hiyo. Na ndio maana asali ya nyuki wa ulaya sio tamu kama wa hapa kwetu, kwa kuwa wa ulaya hawaumi

Una uhakika na hiyo maneno ya nyuki wa ulaya kutong'ata.............usimwage upupu kwenye issue za elimu kama hiyo kamanda!
 
najua hapo hakuna kuchelewa mtu anapewa dawa ya sikio! Duh wanawake tuko hatarini kweli hatuko salama hapa duniani!
 
Hii ni baadhi ya mistari ambayo utumika kutongozea:-
Kwa wanawake waliokuwa katika umri wakuanzia 25.......na anakata kinywaji mambo huwa hivi...
  • Dada za kwako samahani sijui hapa naweza kujoin na wewe kama hautajali??
Dada:Hapana wekaa tuu!
  • Habari za kwako mzima?
Dada:Mimi mzima siju wewe!
  • Mimi sijambo,mhudumu tafadhali naomba Castle ya barrriiidi msikilize dada anakunywa kinyawaji gani!
Dada:Hapana kaka nashukuru sana mimi ninacho kinanitosha!
  • Hapana Dada kwani ukinywa moja kutoka kwangu utagombezwa??Please bwana tafadhali sana mhudumu mletee kinywaji anachokunywa!
Dada:Dah yani yani nilitaka kuondoka naenda kwa fundi unajua asubuhi gari iliniletea matatizo hivyo nataka kuipeleka!!basi naomba Heinken baridi tafadhari.
  • Ahaa pole nini tatizo lagari yako??Basi baada ya hapa kama hautajali nina fundi wa magari yangu naweza kumwambia aje aiangalie tatizo au sijui wewe unaonaje??
Dada: Hata mimi sijui ila kama unafundi ntakushukuru sana!!
  • Dada wewe unaitwa nani??Mimi naitwa Rejao fingafinga marwa 25 na kazi nafanyia JF
Dada:Mimi naitwa fasibuku AshaDii!kazi nafanya kazi Jamii saccos Nanyie za kwenu zipo wapi??
  • Dah swali zuri Sisi zipo mjini pale samora utakapo kuta kibao kimeandikwa DELL,Toshiba,HP zote ni office zetu karibu!!
Dada:Vizuri nimefurahi kukufahamu...................
  • Waiter tuletee kama tulivyo naniitie mchoma nyama,vipi utapenda nyama choma?kuna mbuzi,kitimoto,kuku! sijui utapendelea nini??Mimi binafsi napenda Mbuzi!
Dada basi wote tule mbuzi.................
......................mmh mbuzi mtamu......mwambie mhudumu aniletee heinken hii ya tano ya mwisho na sijui kama nta weza kudrive.......naninakwambia leo wewe utanibeba na mpaka unidrive mpaka home!!!!!
  • Usijali Fasibuku kwakuwa umeshakuwa usiku basi twende na gari yangu hii tutaipaki kwa walinzi wa ofisini kwetu usitie shaka!!...............ulisema unakaa wapi??mwenge?? karibu tunafika.......
DADA:Ndiyo ila nasikia kuchoka unajua kuchoka!!......unajua kudrive vizuri sijui nani kakufundisha.......kwanini na mimi usinifundishe leo kudrive kama wewe..................


watalaamu endelezeni.....

daaah!it sound like you did it yesterday, design kama ukawa unajirecord ivi.. we ni mkaree
 
Hii ni baadhi ya mistari ambayo utumika kutongozea:-
Kwa wanawake waliokuwa katika umri wakuanzia 25.......na anakata kinywaji mambo huwa hivi...
  • Dada za kwako samahani sijui hapa naweza kujoin na wewe kama hautajali??
Dada:Hapana wekaa tuu!
  • Habari za kwako mzima?
Dada:Mimi mzima siju wewe!
  • Mimi sijambo,mhudumu tafadhali naomba Castle ya barrriiidi msikilize dada anakunywa kinyawaji gani!
Dada:Hapana kaka nashukuru sana mimi ninacho kinanitosha!
  • Hapana Dada kwani ukinywa moja kutoka kwangu utagombezwa??Please bwana tafadhali sana mhudumu mletee kinywaji anachokunywa!
Dada:Dah yani yani nilitaka kuondoka naenda kwa fundi unajua asubuhi gari iliniletea matatizo hivyo nataka kuipeleka!!basi naomba Heinken baridi tafadhari.
  • Ahaa pole nini tatizo lagari yako??Basi baada ya hapa kama hautajali nina fundi wa magari yangu naweza kumwambia aje aiangalie tatizo au sijui wewe unaonaje??
Dada: Hata mimi sijui ila kama unafundi ntakushukuru sana!!
  • Dada wewe unaitwa nani??Mimi naitwa Rejao fingafinga marwa 25 na kazi nafanyia JF
Dada:Mimi naitwa fasibuku AshaDii!kazi nafanya kazi Jamii saccos Nanyie za kwenu zipo wapi??
  • Dah swali zuri Sisi zipo mjini pale samora utakapo kuta kibao kimeandikwa DELL,Toshiba,HP zote ni office zetu karibu!!
Dada:Vizuri nimefurahi kukufahamu...................
  • Waiter tuletee kama tulivyo naniitie mchoma nyama,vipi utapenda nyama choma?kuna mbuzi,kitimoto,kuku! sijui utapendelea nini??Mimi binafsi napenda Mbuzi!
Dada basi wote tule mbuzi.................
......................mmh mbuzi mtamu......mwambie mhudumu aniletee heinken hii ya tano ya mwisho na sijui kama nta weza kudrive.......naninakwambia leo wewe utanibeba na mpaka unidrive mpaka home!!!!!
  • Usijali Fasibuku kwakuwa umeshakuwa usiku basi twende na gari yangu hii tutaipaki kwa walinzi wa ofisini kwetu usitie shaka!!...............ulisema unakaa wapi??mwenge?? karibu tunafika.......
DADA:Ndiyo ila nasikia kuchoka unajua kuchoka!!......unajua kudrive vizuri sijui nani kakufundisha.......kwanini na mimi usinifundishe leo kudrive kama wewe..................


watalaamu endelezeni.....

Dada; Yaani leo hata sijui kinanitokea nini jamani...unajua mi huwa simzoei mtu haraka kiasi hiki......we nimekuzoea na kukuamini leo leo.......unajua mi nishaumizwa sana na wanaume ndo maana huwa sitaki kuwazoea tena na kuwaamini ndo kabisaa sitaki tena mie...nyie wanaume hamuaminiki......!!!!!!!!
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom