mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,626
I hope hao wanaowaandaa wa kwetu watakuwa wamesikiliza mzee hapo alipotaja nini wataka kusikia toka kwa washindani ili wachague.
nimefurahi kuwaona BLUE na mwimbo wao umenikumbusha enzi hizo kwao.
Ila mmmhhh nchi ingine waimbaji wa waingereza mmmh hata kama ni ya huko west, nchi hiyo kwani hawana waimbaji? inakuwaje hii?
nimefurahi kuwaona BLUE na mwimbo wao umenikumbusha enzi hizo kwao.
Ila mmmhhh nchi ingine waimbaji wa waingereza mmmh hata kama ni ya huko west, nchi hiyo kwani hawana waimbaji? inakuwaje hii?