Miss World 2013 ni leo........Bali, Indonesia........

Miss World 2013 ni leo........Bali, Indonesia........

76323_profileImage1.600x400.jpg


Ivorian, and shez only 18.
Its better that some of us are never judges,...shez bloody cute!!
 
Miss world-philipines ni m-cute,less make-up na simple,mf.mtindo wa nywele

miss Ghana-3 ni smart kajieleza vizuri mpaka majaji wakawa wanaangaliana na kukubali kwa kutingisha kichwa

ukiacha Ghana na Aruba(sudan kusini), miss Canada kajitahidi kuwakilisha vizuri watu weusi

bongo movie eeh kuna member mpya yupo Indonesia anakuja
 
Miss world-philipines ni m-cute,less make-up na simple,mf.mtindo wa nywele

miss Ghana-3 ni smart kajieleza vizuri mpaka majaji wakawa wanaangaliana na kukubali kwa kutingisha kichwa

ukiacha Ghana na Aruba(sudan kusini), miss Canada kajitahidi kuwakilisha vizuri watu weusi

bongo movie eeh kuna member mpya yupo Indonesia anakuja

mkuu.....umenimix kidogo hapo penye blue.........
 
[FONT=comic
sans ms]mkuu.....umenimix kidogo hapo penye
blue.........[/FONT]

Preta kuna muda miss wetu alikuwa anahojiwa alionekana mfupi kama nukta. au yule dada ndo super tall? maana hadi niliona aibu.
 
Last edited by a moderator:
Preta kuna muda miss wetu alikuwa anahojiwa alionekana mfupi kama nukta. au yule dada ndo super tall? maana hadi niliona aibu.

ki ukweli mpaka tupate mtu kama Hoyce na Nancy kwenye hizi shughuli...........tutakaa sana........kuna tatizo kuanzia hapa nyumbani........
 
Mi naona watanzania umri pia unatuponza kwenye haya mashindano kwani yawezekana tunapeleka mabint ambao hawajapevuka vizuri.Miss world now ana 23yrs sasa uliza wa kwetu?haya na hao waliopita ilikuwa vp kama jana tu wema ndio kafikisha 25.je alipata umiss akiwa na umri gani.Kamati ya miss tz waache maslai binafsi na kuwafanya hawa mabinti viburudisho.
 
Mi naona watanzania umri
pia unatuponza kwenye haya mashindano kwani yawezekana tunapeleka mabint
ambao hawajapevuka vizuri.Miss world now ana 23yrs sasa uliza wa
kwetu?haya na hao waliopita ilikuwa vp kama jana tu wema ndio kafikisha
25.je alipata umiss akiwa na umri gani.Kamati ya miss tz waache maslai
binafsi na kuwafanya hawa mabinti viburudisho.

nna wasiwasi wema ame edit umri wake.
 
[FONT=comic
sans ms]ki ukweli mpaka tupate mtu kama Hoyce na Nancy kwenye hizi
shughuli...........tutakaa sana........kuna tatizo kuanzia hapa
nyumbani........[/FONT]

yaah maana hata huyu happy naona kama tulibase sana upstairs. ila kwa urembo sio sana.
 
Huyu ndiye alitoka Africa
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1380526030449.jpg
    uploadfromtaptalk1380526030449.jpg
    19.6 KB · Views: 82
mkuu.....umenimix kidogo hapo penye blue.........

nimechanganya yule aliyekua black kuliko wote,alikua wa South Sudan au kakisiwa ka Aruba?

anyways,best part ya shindano ni 'Beauty with purpose'-Miss Nepal,yule Dentist
the rest ushehereshaji tu
 
Back
Top Bottom