Miss Tanzania wa 2010 mhh..

genevive4.jpg
me+and+gen.jpg


Lundenda tunajua mashindano yako hayana mvuto na yanatoa maMiss wasio na viwango ila kwa huyu Geneveive umechemsha kwa kweli...
I dont't really get it! Kwani huyu Miss ana ubaya au!!! mbona analipa! na anaonekana makini sana!! au ndio nyie wa JK wazee wakuuza sura na sio kichwa!?? huh!??
 
nilimuuliza uncle baada ya shindano akasema HILO NI CHAGUO LA MUNGU UNCLE..MBAVU SINA NIKASIKIA KAMA MTU ANANTEKENYA

chaguo la mungu alikua jeykey lakini mpaka anamzaliza kipindi cha kwanza mimi namuhesabu kama chaguo la yahaya
 
genevive4.jpg
me+and+gen.jpg


Lundenda tunajua mashindano yako hayana mvuto na yanatoa maMiss wasio na viwango ila kwa huyu Geneveive umechemsha kwa kweli...

huyu ni knockout raundi ya kwanza tu...

uso umezeeka machunusi kibao....duuuh!!!!!!!!!!
 
Kuna ma-MISS wengine hata mimi najiuliza kulikoni wakapita? Au tatizo la wapiga picha wetu tu? To be honest wapo kadhaa waliokuwa vimeo....


1994:
Aina Linda W. Maeda
miss_1994.png




1995: Mrembo Emily Adolf

miss_1995.png


1996: Shose Sinare

miss_1996.png

1997: Saida Kessy

miss_1997.png


1998: Mrembo Basila Mwanukuzi


miss_1998.png

1999: Mrembo Hoyce Temu

miss_1999.png

2000: mrembo Jacqueline Ntuyabaliwe


miss_2000.png


2001: Mrembo Happiness Magese

miss_2001.png


2002: Mrembo Angela Damas

miss_2002.png


2003: mrembo Sylivia Bahame


miss_2003.png
2004: mrembo Faraja Kotta



miss_2004.png




2005: Miss Tanzania Nancy Sumari

miss_2005.png





2006: WEMA SEPETU

miss_2006.png



2007: RICHA ADHIA

miss_2007.png

2008: NASREEN KARIM

miss_2008.png


2009: MIRIAM GERALD

moz-screenshot-1.png
miriam%2Bgerald%2Bmwanza.JPG


 
Mimi nawaachia wadau wa urembo muamue, sijui vigezo gani ni muhimu kuliko vingine
 
Kuna ma-MISS wengine hata mimi najiuliza kulikoni wakapita? Au tatizo la wapiga picha wetu tu? To be honest wapo kadhaa waliokuwa vimeo....


1994:
Aina Linda W. Maeda
miss_1994.png




1995: Mrembo Emily Adolf

miss_1995.png


1996: Shose Sinare

miss_1996.png

1997: Saida Kessy

miss_1997.png


1998: Mrembo Basila Mwanukuzi


miss_1998.png

1999: Mrembo Hoyce Temu

miss_1999.png

2000: mrembo Jacqueline Ntuyabaliwe


miss_2000.png


2001: Mrembo Happiness Magese

miss_2001.png


2002: Mrembo Angela Damas

miss_2002.png


2003: mrembo Sylivia Bahame


miss_2003.png
2004: mrembo Faraja Kotta



miss_2004.png




2005: Miss Tanzania Nancy Sumari

miss_2005.png





2006: WEMA SEPETU

miss_2006.png



2007: RICHA ADHIA

miss_2007.png

2008: NASREEN KARIM

miss_2008.png


2009: MIRIAM GERALD

moz-screenshot-1.png
miriam%2Bgerald%2Bmwanza.JPG



Good Miss TZ collection
 
Acha hiyo kwani Rose Mhando ana ubaya gani jamani? Yule ni mama anayejitegemea na familia yake akimtumikia Mungu. Hata hajawahi kujitokeza kugombania u-missi. U-miss wake ni kwenye nyimbo za injili na anaibuka kidedea. Hebu tumheshimu huyu mama Rose Mhando. Keep it up Rose wangu. Unaisuuza familia yangu kwa nyimbo zako, hata mwanangu yuko mbali tunamtumia DVD zako. Keep it up Rose, you are a super star, model, queen, miss in your area of competence, and in this case, Gospel.

Hakuna ubaya wowote kufananisha watu ni kipaji tu, ni sanaa. Na mimi nakubaliana na hoja kuwa , Rose MUhando ni mrembo na Miss Mbeya anamranda sana. Ukiangalia haraka haraka pia Miss Mbeya amemranda sana mmoja wapo wa washiriki wa Ze commedy show wakiwa kwenye zile costumes zao za kike.
 
Back
Top Bottom