huyu miss tanzania wa mwaka huu tukiwekwa jukwaani pamoja nadhani watanzania watanipa kura nyingi sana hadi niseme basi duuuuh
Usijidanganye; Hawaangalii uzuri tu bali wanapima pia IQ yako na kipaji cha kujieleza.
huyu miss tanzania wa mwaka huu tukiwekwa jukwaani pamoja nadhani watanzania watanipa kura nyingi sana hadi niseme basi duuuuh
Usijidanganye; Hawaangalii uzuri tu bali wanapima pia IQ yako na kipaji cha kujieleza.
mwe mwe mweee mweeeee...!
YANI MISS MBEYA KAMA ROSE MHANDO....!
ndaga pijo na malori
Hivi vigezo vilikuwa ni nini?
Acha hiyo kwani Rose Mhando ana ubaya gani jamani? Yule ni mama anayejitegemea na familia yake akimtumikia Mungu. Hata hajawahi kujitokeza kugombania u-missi. U-miss wake ni kwenye nyimbo za injili na anaibuka kidedea. Hebu tumheshimu huyu mama Rose Mhando. Keep it up Rose wangu. Unaisuuza familia yangu kwa nyimbo zako, hata mwanangu yuko mbali tunamtumia DVD zako. Keep it up Rose, you are a super star, model, queen, miss in your area of competence, and in this case, Gospel.
Umemkosea huyo Mama!
mhh!!! Kweli jamani kila mtu ana fikra na maono yake na ana uhuru kuwa comment, she was real beautifully girl,
miss ghana ameng'aaaaaaaaaaaaaaa hata bahama nae yumo
Lundenda tunajua mashindano yako hayana mvuto na yanatoa maMiss wasio na viwango ila kwa huyu Geneveive umechemsha kwa kweli...
SANTA LUCÍA