Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Bone structure yake ni pana mhh hafiki popote ngoja nimtafute wa Venezuela huko huwa ni balaa:tonguez::tonguez:
Ahaaaaa, huyaoni eeeeeeh.kwani huyu miss ana tatizo gani?
..Kwa kuwa mimi huvutiwa sana na miguu sina la kusema kuhusu huko juu. Mtoto wa kike ana usafiri acheni kabisa bana ah!:tonguez:Kwa wale mlioomba picha yake ya FULL hii hapa...
kwani huyu miss ana tatizo gani?
Bone structure yake ni pana mhh hafiki popote ngoja nimtafute wa Venezuela huko huwa ni balaa:tonguez::tonguez:
Bone structure yake ni pana mhh hafiki popote ngoja nimtafute wa Venezuela huko huwa ni balaa:tonguez::tonguez:
hahaha thanks kwa kweli lundenga hapo kachemsha kama maharage
..kwa kuwa mimi huvutiwa sana na miguu sina la kusema kuhusu huko juu. Mtoto wa kike ana usafiri acheni kabisa bana ah!:tonguez:
kwa wale mlioomba picha yake ya full hii hapa...
Mwanamke mzuri tu...kama amefikia vigezo vilivyoweka basi ndo Miss Tanzania...tuache porojo!Hao ma-miss tunaosema wako maofisini wanasaka pesa si wajitokeze...mwanamke mzuri na ambaye anajiamini hawezi kuogopa "kupakatwa" tu(kama kweli hayo yanaendelea kwenye kambi za Miss Tanzania)...yeye anatakiwa ashiriki na kama maadili yake yamekaa sawa hawezi kuruhusu mwili wake uchezewe ili ashinde...na ndiye angekuwa sauti kwa ulimwengu kuwa waandaaji wa Miss Tanzania wameoza na wanaendesha vitendo vya aibu lakini kwa kutoshiriki maana yake hawajiamini na hawana nafasi ya kuitwa kweli warembo!Urembo wao utaishia mbele ya dressers zao na maofisini mwao!
Goodluck Miss Tanzania!