Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
Huyu ndiye anapendwa na wengi?Kila anapotangazwa mshiriki anayeitwa CONSOLATA ukumbi unalipuka kwa mayowe.
Bila shaka huenda akaibuka mshindi.
Huyu ndiye anapendwa na wengi?Kila anapotangazwa mshiriki anayeitwa CONSOLATA ukumbi unalipuka kwa mayowe.
Bila shaka huenda akaibuka mshindi.
Amechemsha, hakutakiwa ku-disclose chaguo lake lakini maelezo yake ndiyo yangeifanya hadhira kutambua nani anamlenga.dahhhh kikwete kapigiwa d ebe live na mrembo baadaya kuulizwa atamchagua mtu wa aina gani, akataja hizo sifa kisha akasema jk anazo kwani anaongoza kwa ari nguvu na kasi zaidi
Kama kubandika picha zake kwenye gari askari wanakuogopa, kwanini asi'take advantage!dahhhh kikwete kapigiwa d ebe live na mrembo baadaya kuulizwa atamchagua mtu wa aina gani, akataja hizo sifa kisha akasema jk anazo kwani anaongoza kwa ari nguvu na kasi zaidi
hata mimi na mpende zaidi huyu awe miss amepanda hewani kama happines magesaHuyu ndiye anapendwa na wengi?
yapo live kwa TV gani mheshimiwa ..dah hizi bia nazo zinatufanya tukose uhondo!!Matangazo mengi hayo sijui tukirudi tunaweza kuta amepatikana miss tayari
Miss TZ ni No. 5
Nasikia kuna mmoja kaanguka jukwaani?
mwaka huu star tv ndio wanaonyesha liveyapo live kwa TV gani mheshimiwa ..dah hizi bia nazo zinatufanya tukose uhondo!!
Wanamshangilkia bure tu kumbe hana lolote.
Wa Temeke ndie atakuwa mshindi.
Mi naona mashindano haya yamepoa. AY anajaribu kuchangamsha lakini wabongo wanamtazama tu.
je ana uhusiano wowote na jeikei?Nasikia kuna mmoja kaanguka jukwaani?
Hawachangamki, wajua kwa nini? Wanawaza zawadi ya mwaka jana (gari la Tshs 60 milioni) wanachanganya na ya mwaka huu (gari la Tshs 10 milioni), halafu wanatafakari!!! Halafu na uchaguzii nao labda wanauwazia!!!