senator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 1,924
- 66
Kwa Tanzania Umri unaotakiwa ni 18-25yrs..na atleast uwe na ka elimu cha form 4Kwani Kugombea u-miss unatakiwa uwe na umri gani???
Kwa Tanzania Umri unaotakiwa ni 18-25yrs..na atleast uwe na ka elimu cha form 4Kwani Kugombea u-miss unatakiwa uwe na umri gani???
Bado yupo huyu?
Mpwa bwana si ulisema haudanganyiki kwa rangi ya chai
Umeona eee? maneno ya bure matendo hakuna
Hivi kuna Miss Tz yoyote hajaanza haya mambo??? most of them ni ma expert kwenye hiyo section!!
nadhani kuna wengine wana over do