*Miss Tanzania 2008*

.... haya tuombieni huyo Miss Tanzania wa mwaka huu ni M-bantu asilia vipi?
 
...haika, Kwa uelewa wangu mdogo, mvuto ni attractive, attractiveness, katika fani hii wao wanaita 'photogenic', Kipaji ni talent, talented.

au?...

so how come one has a talent for being attractive?
I thought that you get born beautiful/ attracive, you can not do anything about it. or can you?
so this is a talent same as piano and music are?
or drawing?
i need some education here pls,
Modeling can be a talent as they strugle to perfect it, and product is seen,
but the parades and smiles, not to me thank you,

I would say that this show is an interview which when they pass (win) they get some doors opened much more easily for them, so that they can use whatever talent they have.
if its loving, social work, broadcasting or modeling.
 
Mkuu Kichuguu,

Kumbe wewe ni shabiki mkubwa wa haya mashindano? Maanake niliona umekomaaa kweli,kula Tano maanake naona huna masihara na ubalozi wa taifa letu katika medani zote
 
Mkuu Masatu ingawa simjui huyu binti lakini nikichukua vigezo kama appearance yake na kuongea kiswahili inatosha kunithibitisha huyu ni m-bantu, after all, jina sio alama ya kumtambua mtu na sio lazima wabantu wote wawe na surname za kienyeji mfano Ntuyabaliwe,Galabawa,Magese,Mwanukuzi ama Jembeulaya!! Kimtazamo wangu kitu muhimu ni kwamba mtu yoyote atakaeiwakilisha Tanzania kwa aina yoyote ile,iwe michezo,ulimbwende,Taaluma, muziki,kidiplomasia nk. katika dunia ya leo ya mtandao masaa 24 lazima awe ni professionalism na ajue kwamba yeye ni kioo cha nchi yetu,hili wawakilishi wetu wengi hawalijui ndio unaona tunaabika tunapotoka nje kila siku, utasikia mabondia wamekamatwa na madawa, mara sijui ma-miss wamepigania mabwana yaani ovyo kabisa!!! They always in the news for wrong reasons, Binafsi nampongeza sana yule Richa I don't give a toss about her complexion or ancestry, all I care for is she's represented our country and carried herself in a very dignified manner throughout her pagent year ingawa hakushinda kule China. Nakupa mfano katika UK celebrity big brother mwaka jana kulikuwa na actress wa bollywood anaitwa Shilpa Shetty, kuna wasichana wa kiingereza walim-bully sana humo ndani ya Big brother house lakini yule Dada haku-retaliate, when asked why she didn't retaliate? she replied: "Shilpa feels that she represents the Indian/Asian community and doesn't want to let them or herself down by retaliating." Trust me hayo maneno yaliwauma sana waingereza wazungu, sababu show ilionyeshwa around the globe na ingawa ni malumbano ya watu wachache mule kwenye shoo lakini ili-reflect the behaviour of whole english white society toward black/asian communities. Hio kitu mpaka bungeni ilijadiliwa mpaka Gordon Brown aliomba radhi na kuwatetea wazungu walio wengi kwa ulimwengu!!!! Kwa hio naomba wawakilishi wa nchi yetu wasome, from the 1st minute you are axposed in the media basi uhakikishe you behave in proffesional and dignified manner all the time, wajue kinachoandikwa Tanzania ama popote pale basi kinatapakaa dunia nzima dakika hiyohiyo. NI hayo tu.
 
Kwa mujibu wa Kweli alivyoelezea ndiyo hasa tunavyotakiwa kuwa;kwasababu mwaka 2007 niliingia katika tovuti ya Miss World katika kufuatilia hiki na kile ni kaona pamoja na sifa nyingine kwa mshiriki wa Miss World,sifa mojawapo ni kwamba angalau awe na Degree moja.
Sasa kwa hapa Tanzania sizani kama waandaji wanazingatia hilo na kuwaambia watanzania tuzingatie hilo.Na ndiyo maana wengi wa washiriki wanaofanya vizuri utakuta tayari wana-degree zao kibindoni hata kabla ya kushiriki mashindano haya makubwa katika urembo.Tofauti na hivyo tutaendelea kushiriki na siyo kushindana.
 
Kwa mujibu wa Kweli alivyoelezea ndiyo hasa tunavyotakiwa kuwa;kwasababu mwaka 2007 niliingia katika tovuti ya Miss World katika kufuatilia hiki na kile ni kaona pamoja na sifa nyingine kwa mshiriki wa Miss World,sifa mojawapo ni kwamba angalau awe na Degree moja.
Sasa kwa hapa Tanzania sizani kama waandaji wanazingatia hilo na kuwaambia watanzania tuzingatie hilo.Na ndiyo maana wengi wa washiriki wanaofanya vizuri utakuta tayari wana-degree zao kibindoni hata kabla ya kushiriki mashindano haya makubwa katika urembo.Tofauti na hivyo tutaendelea kushiriki na siyo kushindana.

Kiuyajibu,
Pamoja na kukubaliana na hoja yako.. nadhani kushiriki ni hatua moja kuelekea kushinda.Suali: Nini kifanyike kuwavuta wale walio na sifa mnazozipigia debe waweze kushiriki? Nadhani huko mwanzoni tuliona kuwa moja ya vizingiti ni hatari zinazokuja kuwakabili mabinti wanaokuwa exposed to the competition. So long as hili halina utatuzi..tuendelee kutarajia ushiriki tu na kwa kiasi kidogo tumaini la ushindi.
 
sisi tutaendelea kuwa wasindikizaji kila mwaka,wenzetu wa nchi za asia wanaandaa mabint ili waje kuibuka washindi lakini sisi tunawatafuta washiriki.......hiki ndio kipindi cha anko hashimu kutoka shavu
 
Nami nashukuru ya kwamba ili mjadala kama huu uendelee inabidi tusiwe na mtazamo mmoja, jambo ambalo ni vizuri kuliweka sawa ni kwamba ninaposema ya kwamba mashindano haya ni udhalilishaji, nimeongea kwa nafsi yangu...kutokana na upeo wangu na maadili yangu. Kwa mwengine anaweza akaona ni kitu cha kawaida lakini kama mtanzania niliyelelewa katika maadili ya Watanzania ambaye nimebahatika kuishi katika Awamu Nne za serikali z Bongo ntasema tena ni udhalilishaji.

Hapa sidhani kama nahitaji kujibu kwa vipengele lakini jua tu ya kwamba wazalilishwaji wakuu ni Jamii shiriki katika mchakato mzima wa Mashindano, unapoongelea nani ni mtendewa naomba nikujibu ya kwamba watendewa wakuu ni jamii nzima ambayo inawazunguka hao wahusika na watenda ni jamii hiyo hiyo ikishirikiana na hao wahusika.

Read between the lines na utaelewa ni nini hasa najaribu kukufahamisha hapa.

Hapa ndipo watanzania wenzangu wananiacha hoi kwa unafiki!

Anyway tusonge mbele, perhaps na Chenge anafuata maadili ya watanzania maana ufisadi hakuuanza yeye!
 
Hapa ndipo watanzania wenzangu wananiacha hoi kwa unafiki!

Anyway tusonge mbele, perhaps na Chenge anafuata maadili ya watanzania maana ufisadi hakuuanza yeye!

Nini maana ya unafiki...

Na mantiki ya haya Mashindano ya Ulimbwende katika Jamii ya Mtanzania ni nini haswa? Yanafundisha nini kizazi kijacho?
 
A21-721171.jpg



A1-700383.jpg



A5-764156.jpg


a18-709139.jpg

Picha kutoka Michuzi-blog.com
 
Nimefurahi kuwa top mshindi na yule wa tatu wametoka katika list yangu. Yule mshindi wa pili pia alikuwa karibu sana na macho yangu kwenye list ingawa sikumpa nafasi kubwa sana nikilinganisha na wale niliokuwa nimewatanaguliza. Hali ndivyo ilivyo, macho yangu huona kwa kutumia ultra violet light, hivyo naweza kutofautiana na wengi.

Kilichonisikitasha kwa sasa ni taarifa nilizosoma baadaye kutoka vyanzo mbali mbali kuhusu tabia za huyu Miss Tanzania wetu wa mwaka huu. Sina uhakika na taarifa hizo lakini kama taarifa hizo ni za kweli, basi zinanifanya nifikirie mara kumi umuhimu wa kuendela na mashinado ya namna hii bila kuwa na standard thabiti. Najua kuwa washindi wa mashindanio haya huwa wanapata exposure ya kimataifa ambayo pia huwawezeasha kupata mikataba ya kimataifa na hivyo kujiendeleza kiuchumi wao binafsi na familia zao na taifa zima kwa jumla. Jambo linalotia wasiwasi ni kuwa washindi wa mashindano haya wanagubikwa na rekodi mbaya (kulingana na taarifa za pembeni kama ni za kweli) wanaweza kuweka mfano mbaya kwa watoto wa kike wanaotafuta namna ya kukwamuka na ufukara wakizania kuwa njia moja ya mafaninkio ni kuendeleza tabia mbaya za namna hiyo.

Haya mashindano yote kwa ujumla wake ni non starter kwa watoto wa kike wa kizazi kijavyo. Ukiachana na mambo mengine, yanatoa picha kwamba maisha sio magumu vile, ni swala kuwa mrembo na kujiremba, unajipitisha mbele dakika kadhaa, unaibuka na gari, ebo-very artifical sort of life! Sasa hii ndio inafanya watoto wa kike waache kuchangmkia Physiscs!




Kuna swala la msingi kwenye hoja ya Kichuguu.

Kushawishi watoto wa kike au wa kiume kwenda kwenye masomo ya Physics kwa kupinga mashindano ya urembo sio sahihi. Leo hii mwanangu akitaka kusoma masomo ya sayansi nitamsisitizia kuutafakari tena uamuzi huo kwa kumuonyesha 'maendeleo' ya wale waliosoma sayansi.



Flaviana Matata born in 1985 won Miss Universe Tanzania 2007 and came to represent her country in Miss Universe 2007 the same year where she placed in the Top15 and ended up in 6th place after evening gown. She was the first contestant from her country to go to Miss Universe and she was also the first contestant who competed with a shaved head.


Miss Tanzania, Flaviana Matata, an electrical technician whose country is participating for the first time, is also challenging stereotypes of beauty with her shaved head. "I never let anyone define me neither by hair nor clothing as I believe God made me perfect as a pure, natural African woman," she said.


It was clear from the onset that Matata, who cuts the pose of a real Africa queen, would steal the show. Her magnetic appearance on the stage compelled nothing less than an ear blaring from the revelers who turned up to witness the event.

Smiling from ear to ear and natural Africa beauty skin, Matata who has an ambition to become an engineer could not contain her glee. "Thanks for honouring me," she quipped in glaring voice. Matata is a professional model.

The first ever event in the country was organised by Compass Communications whose Director Maria Sarungi, has been involved in organizing some international pageants in the past. She has been instrumental in the grooming and training of contestants who have won accolade in contests of this stature.



attachment.php

How often to you pay attention to posture of beauty pageants' contestants?




.
 

Attachments

  • Flavian Matata 2 - TZ.jpg
    Flavian Matata 2 - TZ.jpg
    12.2 KB · Views: 321
Sehemu ya mahojiano kati yake na BongoCelebrity


BC: What is the hardest thing about being Flaviana (yourself) in Miss Universe?

FM: It’s all about my bald head. People do not understand when I tell them I was like this before. They think I shaved my head for the Miss Universe competition


DC: In Tanzania so many models are either in school, or stop school for a while to pursue modeling and fashion careers, I know for example you are interested in becoming an electrical engineer in the future, Are you doing modeling as a career goal or just a hobby? And if you finally decide to stick with modeling, do you think modeling and engineering will interconnect.

FM: I have worked with different Tanzanian models but have never met anyone who has stopped school to pursue modeling career. They just do it as part time as you know that we are not paid well so we do have other careers. I am planning to do modeling as a career though I can’t just depend on it for long or do it up for 50 years. So I should have my own profession as other people do.





.
 
Mkuu bola huyo mdogo wako ata tutiti kwake tumesimama alafu yupo nechloo, alooo kawabwaga wengine wote.
 
Ebwana Kichuguu, mimi ningekuwa kwenye lile jukwaa la majaji kwa picha hizo..basi machaguo yangu ya wasichana wenye mvuto zaidi ingekuwa ni Regina Julius, Fay Anthony na Rona Swai. Pamoja!
 
..huyu mrembo mbona amefubaa uso namna hiyo.......kina lundenga hawatatufikisha kokote na tabia yao ya kwenda kuchukua machangudua wanaowa miminia na kuwapa urembo wa tanzania kwa jina letu tukufu tanzania....

KWANI YEYE ANA HATI MILIKI YA JINA TANZANIA...KWANINI WAANDAAJI WA HAYA MASHINDANO WASISHINDANISHWE TUPATE PERFECTION....mbona wapo wengi wana uwezo....kama maria sarungi..?/

HUONI WALE MISS TOURISM WORLD WAMEMPOKONYA TULE MSANII CHIPUNGAHELO LESENI..KWA UBABAISHAJI ..WAMEMUAMBIA AKITAKA KUENDELEA KUANDAA MISS UTALII AENDELEE LAKINI ATAFUTE MAHALI PA KUWAPELEKA..MAANA CHIPS NAYE ALIKUWA MSANII ALIKUWA ANAPITA MIKOANI ANAKUSANYA BAR MAIDS ANAWASHIRIKISHA MASHI8NDANO...UPPUUZI!!!.........ALLILITIA TAIFA HASARA BAADA YA KULA PESA ZA MAANDALIZI YA MISS WORLD TOURISM.,..NA KUPELEKEA RAIS KIKWETE ..KUTOA PESA YA SERIKALI KUNUSURU MASHINDANO ILI TAIFA LISIAIBIKE.......

KINA LUNDENGA BASATA WAWANYANGANYE HIYO LESENI ..KAMA WATAAMUA KUENDELEA KUANDAA MASHINDANO.....NA WAENDELEE ...CHA MUHIMU NI KUYAPUUZA NA KUYAONDOLEA UZITO!!!!!

BASATA WAWE NDIOO WAMILIKI WA ..MISS TANZANIA...NA MUANDAAJI APATIKANE ON OPEN TENDER BASIS........JINA LETU NI TUKUFU ..TANZANIA ...NA HALIWEZI KUMILIKIWA NA YEYOTE...MAANA NI LETU WOTE....TUNA WAJIBU WA KUANGALIA NANI ANALITUMIA..KWANI NI NEMBO YA UTAIFA WETU...MTU AKILITUMIA VIBAYA ..ANATUTUKANISHA WOTE!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom