Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 14,510
- 17,128
Washindani wetu wa Miss-Tanzania ni hawa; picha nimezitoa kwenye tovuti ya udaku ya Shigongo pale http://www.globalpublisherstz.com. Ingawa najua kuwa kuna vigezo vingi vitumikavyo kumtafuta mshindi, hata hivyo nina imani kuwa haiba huchangia sana kwenye ushindi. Je, ni nani kati yao ana haiba ya mvuto kwako, na kwa nini? GlobalPublishers wameahidi kutoa zawadi kwa msichana atakayekuwa na mvuto kwa watu wengi. Unaweza kwenda kwenye webite yao hapo juu kuonyesha chagua lako. Labda nitahadhalishe tena kuwa picha zote hizi ni mali ya Global Publishers, nimeziweka hapa kwa ajili ya kupanua mjadala wa mvuto wa haiba.
Lilian Shayo
Sylvia Mashuda
Tusekile Mwakimbinga
Amata Crispin
Angela Luballa
Anneth John
Nelly Kamwele
Beatrice Dengenesa
Blanka Emmanuel
Elizabeth Gupta
Gloria Masangwa
Florence Josephat
Flora Mvungi
Fay Antony
Irene Salala
Johari Abubakar
Linda Kaaya
Mariam Hajibu
Nadya Ahmed
Cecilia George
Devotha Desdery
Pendo Laizer
Doris Godfrey
Nasreem Karim
Regina Julius
Rona Swai
Tahya Badru
Bila kumsahau mdogo wangu huyu hapa:
Kichuguu Mdogo wa Kike

Lilian Shayo

Sylvia Mashuda

Tusekile Mwakimbinga

Amata Crispin

Angela Luballa

Anneth John

Nelly Kamwele

Beatrice Dengenesa

Blanka Emmanuel

Elizabeth Gupta

Gloria Masangwa

Florence Josephat

Flora Mvungi

Fay Antony

Irene Salala

Johari Abubakar

Linda Kaaya

Mariam Hajibu

Nadya Ahmed

Cecilia George

Devotha Desdery

Pendo Laizer

Doris Godfrey

Nasreem Karim

Regina Julius

Rona Swai

Tahya Badru
Bila kumsahau mdogo wangu huyu hapa:

Kichuguu Mdogo wa Kike