Jamani,
Nasreem alifanyaje huko kwenye mashindano ya Miss World? Niliangalia semi-fanal wala sikuona sura yake kabisa.
Ndugu yangu mambo si mambo, yale yale. Labda tutafute kocha wa kigeni aweze kuwafua wadada wetu!!!
Je hatuna uwezo wa kung'ara miss world? Au tutakuwa tunaendelea na usemi wetu ule ule wa ........Kama Nancy..........
Nini Kifanyike?????????????????
Nasreem karibu nyumbani kumbuka nyumbani ni nyumbani
Huyu mtoto Nasreem nasikia ugonjwa wake mkubwa ni wanaume walio 'well hung'. Akimwona mwanaume yeyote yule huwa anaangalia kwanza kwenye flaisi kwa makini, akiona dalili za 'hogo' kubwa anachanganyikiwa, hajiwezi kabisa! Wataalamu hapa wananiambia mtu mwenye shida hiyo hawezi ku-concentrate kwenye chochote na wengi huwa wanafeli masomo shuleni. Jina la ugonjwa ndio nimesahau, lakini ndio shida yake huyo mrembo.
Mwl. Kichuguu, jaribu kuwasiliana na bro Michuzi ana record na picha nyingi kuhusiana na warembo wa nchi yetu... itakuwa poa sana kama uta recompile list na kujumuisha hata washindi wa pili na watatu katika michuano!!
i greet u!!!!just greetings!!!!!